Joyce Kiria: Rais Magufuli anatukubali, tupambane

Bila shaka wewe ndio joice kiria
Kuniita mimi Joyce Kiria, inadhihirisha zaidi ombwe la kiuchambuzi na kitafakuri ambalo watanzania wengi tunalo. Tunapenda kutoa hukumu bila kuangalia vitu kwa undani, na hata kama tukifanikiwa kuvifahamu kwa undani bado tunashindwa kuvichambua kwa undani.

Kushindwa kufahamu vitu kwa undani na kushindwa kuvichambua kwa undani ndilo tatizo ambalo linasababisha Tanzania yetu iwe na watu wenye maamuzi ya hovyo hovyo tu. Hivi hapa kwenye huu ujumbe wake wa kuhamasisha wanawake wajitokeze kugombea nafasi mbalimbali za uongozi kuna tatizo gani ambalo limepelekea hadi ninyi kughafirika sana ???
 
I miss you fatuma karume,jitokeze huko uliko,ongelea hata kipigo Cha Yanga Cha Jana ntakusikiliza kuliko kusikia brah brah hizi za wasaka ukuu wa wilaya.
 
Hao wameona elimu ni ghali wameamua kujaribu ujinga.
 
Hao wanaotaka aingizwe kwenye serikali wajiandae kisaikolojia, kwani ndio itakuwa mwisho wa kusikia uanaharakati wake.
 
Hujauelewa ujumbe wa msingi. Hapa ni ndani ya ccm,kwa nini kataja jina rais na wengine wa hicho chama?
 
Hapo jiwe linavimba Kichwa, maana uchawi wake mkuu we msifie tu, mwambie hakika ww jiwe Ni mtetezi wa malaika, ww Ni rafiki ya mungu, jiwe ww Ni neno, ulikuwako, upo na utakuwapo!

Linavimba Kichwa kesho unalikuta juu ya majabali linapiga picha
 
Hujauelewa ujumbe wa msingi. Hapa ni ndani ya ccm,kwa nini kataja jina rais na wengine wa hicho chama?
Nadhani nyie ndiyo mnapata shida kuelewa ujumbe rahisi na wa msingi hapa: Huyo mwanamke unayemsema hapa, awe ndani ua nje ya CCM ni mhanga wa mfumo dume. Hili nalo ni gumu kulielewa ???

NB: Politics has clouded your reasoning......
 
Wewe unaweza kuvumilia mtu akwambie ukweli juu ya kosa unalofanya kwa kukutukana mitusi ya nguoni, akikutukania wazazi wako?!
 
Tutafutie strong women mwingine, kama mama samia suluhu. Sio hiyo takataka
 
Huyu kahaba,loser anatuelekeza cha kufanya sisi watu 60milion?

Dunia ina vituko sana!
 
Kilewo alipatikana, though alichosema hapo hakihusiani na Kilewo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…