Joyce Lomalisa Mutambala mbioni kuvunja mkataba na Yanga

Joyce Lomalisa Mutambala mbioni kuvunja mkataba na Yanga

Mpogo Tz

Member
Joined
Jul 29, 2020
Posts
5
Reaction score
3
Joyce Lomalisa Mutambala

Kunaa vuguvugu chinii kuwaa Full back Bora ya mpira inataka kuvunja mkataba

Wananchi na Tanzania nadiriki kusema hatukuwahii kumshuhudia beki Bora wa pembenii zaidii yaa

Joyce Lomalisa Mutambala
 
Huyu lomalisa hapo kwenyewe bado hajakifikia kiwango chake alichokua nacho miaka ya 2014.
 
Nilichojifunza kwenye hizi fake ID, blogs uchwara, pages na forums za mitandao ya kijamii kuna ID za mawakala wa hawa wachezaji wanaovumishi hizi uvumi ili wateja wao wavuni Mpunga mwingi pale jangwani. Joyce si aende tu. Kulikuwa na Akina Anwary awadh, Constantine Kimanda n.k wamepita hapo ubavu wa kushoto isije kuwa yeye.
 
Wanatumwa kuwapandisha pressure viongozi na value wachezaji..acha aende....maisha ni safari na hatua
 
Nilichojifunza kwenye hizi fake ID, blogs uchwara, pages na forums za mitandao ya kijamii kuna ID za mawakala wa hawa wachezaji wanaovumishi hizi uvumi ili wateja wao wavuni Mpunga mwingi pale jangwani. Joyce si aende tu. Kulikuwa na Akina Anwary awadh, Constantine Kimanda n.k wamepita hapo ubavu wa kushoto isije kuwa yeye.
Umenena vyema sana hawa wametumwa kuwapandisha thamani uchwara hawa wachezaji..
 
Nilichojifunza kwenye hizi fake ID, blogs uchwara, pages na forums za mitandao ya kijamii kuna ID za mawakala wa hawa wachezaji wanaovumishi hizi uvumi ili wateja wao wavuni Mpunga mwingi pale jangwani. Joyce si aende tu. Kulikuwa na Akina Anwary awadh, Constantine Kimanda n.k wamepita hapo ubavu wa kushoto isije kuwa yeye.
Constantine Kimanda hakuwa beki wa kushoto. Hauijui hata timu yako.
 
Hizi tetesi kwann ni Yanga tu?,au ni mpanho wa kuitoa Yanga kwenye reli?
Nafikiri huo ni mkakati mahsusi wa wachezaji wenyewe ili waboreshewe maslahi hapo Yanga ni mbinu za medani za vita hakuna anayeondoka.
 
Joyce Lomalisa Mutambala

Kunaa vuguvugu chinii kuwaa Full back Bora ya mpira inataka kuvunja mkataba

Wananchi na Tanzania nadiriki kusema hatukuwahii kumshuhudia beki Bora wa pembenii zaidii yaa

Joyce Lomalisa Mutambala
Na mnapenda club bingwa😂
 
Back
Top Bottom