Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe yametokqSIKU HIZI HAYO MATOKEO YA FORM FOUR HAYASHTUI TENA
Hizo division 1 wanagawana kama njugu tu
Hapana.... wameyatoa wakayarudisha tena ndani...Kumbe yametokq
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) halijawahi kupata tena Katibu mkuu mtendaji maarufu kuliko Prof. Joyce Ndalichako, huyu mama ilikuwa ikifikia wakati wa kutangaza matokeo ya NECTA ya darasa la saba, kidato cha nne au cha sita nchi inasimama.
View attachment 3212220
View attachment 3212222
NDIOKumbe yametokq
Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) halijawahi kupata tena Katibu mkuu mtendaji maarufu kuliko Prof. Joyce Ndalichako, huyu mama ilikuwa ikifikia wakati wa kutangaza matokeo ya NECTA ya darasa la saba, kidato cha nne au cha sita nchi inasimama.
View attachment 3212220
View attachment 3212222
Siku zote kabisa elimu huwa ni ngumu Sana na gharama.Kipindi hicho elimu ilikuwa ngumu sana,
Hamna katibu wa baraza alio kua Mdini kama huyu bibi, alikua anafanya mambo mengine kufurahisha ma boss wake, ndo maana wakati ulio fika aliondolewa mapema tu.Baraza la Mitihani Tanzania (NECTA) halijawahi kupata tena Katibu mkuu mtendaji maarufu kuliko Prof. Joyce Ndalichako, huyu mama ilikuwa ikifikia wakati wa kutangaza matokeo ya NECTA ya darasa la saba, kidato cha nne au cha sita nchi inasimama.
View attachment 3212220
View attachment 3212222
KABISAKipindi hicho elimu ilikuwa ngumu sana,
Ila hakuwa msafi, alikuwa anapita kwenye maofisi fulani fulani kukomba payback kwenye mafungu ya ukarabatiBaraza la Mitihani Tanzania (NECTA) halijawahi kupata tena Katibu mkuu mtendaji maarufu kuliko Prof. Joyce Ndalichako, huyu mama ilikuwa ikifikia wakati wa kutangaza matokeo ya NECTA ya darasa la saba, kidato cha nne au cha sita nchi inasimama.
View attachment 3212220
View attachment 3212222
Enzi za huyu mama ukitoka na 1 au hata ka 2 ka mwanzoni umepambana ila sio sahivi aisee 1 mselelekoBaraza la Mitihani Tanzania (NECTA) halijawahi kupata tena Katibu mkuu mtendaji maarufu kuliko Prof. Joyce Ndalichako, huyu mama ilikuwa ikifikia wakati wa kutangaza matokeo ya NECTA ya darasa la saba, kidato cha nne au cha sita nchi inasimama.
View attachment 3212220
View attachment 3212222
Alifuta soma la dini ya kiislamu na kubadili arama zao huku akacha Bible knowledgeAlifanya udini gani?
Somo la dini ya Kiislamu wanafunzi wanafundishwa kuhusu dini, Bible knoweldge wanafunzi wanafundishwa kuhusu Biblia na sio theology ya dini ya Ukristo ndio maana unakuta wakatoliki, Walutheri, Wasabato n.k wote wanachanganyikana pamoja.Alifuta soma la dini ya kiislamu na kubadili arama zao huku akacha Bible knowledge