Washawasha
JF-Expert Member
- Aug 7, 2006
- 16,717
- 13,176
Tatizo yote hayo unayosema yameandikwa tu katika vitabu na hayatekelezwi.
Bongo kuna vyombo vya DOLA NA DOWANS na hatuna polisi.
Nchi za wenzetu polisi ni graduate na anapokukamata anaomba ruhusa kukutia nguvuni.
Nchi km Sweden polisi haruhusiwi kumfukuza mtuhumiwa na iwapo atafanya hivyo mtuhumiwa akaanguka na kuvunja kiungo cha mwili, basi mtuhumiwa ana haki ya kumshtaki polisi na kuhukumiwa.
hapa bongo ni UMANYAKI KWA KWENDA MBELE hakuna ubinadamu.:msela:
Raia awepo kizuizini ana haki ya kupata huduma za kiafya na matibau
Raia ana haki ya kutoshikwa au kufungwa shati au pingu iwapo hajakaa kukamatwa
Raia ana haki ya kutopigwa na polisi wakati wa kukamatwa
haki nyingi zimeorodheshwa tatitizo ni uwoga uliopo miongoni mwa raia..haki hizi zinavyo vyunjwa raia wengi hawatoi ripoti polisi. Pia polisi wenyewe ni tatizo maana wanajua jinsi wana vyotakiwa kufanya arrest ila ndo wamekuwa wavunjaji wazuri wa sheria, Tunaomba Jeshi la Polisi liwashughulikie polisi wahusika maana wanajulikana imekuwa kama sifa polisi kumpiga eaia wakati wanapomkamata..Tuache woga ukikamatwa na haki zako zikivunjwa report
Tatizo yote hayo unayosema yameandikwa tu katika vitabu na hayatekelezwi.
Bongo kuna vyombo vya DOLA NA DOWANS na hatuna polisi.
Nchi za wenzetu polisi ni graduate na anapokukamata anaomba ruhusa kukutia nguvuni.
Nchi km Sweden polisi haruhusiwi kumfukuza mtuhumiwa na iwapo atafanya hivyo mtuhumiwa akaanguka na kuvunja kiungo cha mwili, basi mtuhumiwa ana haki ya kumshtaki polisi na kuhukumiwa.
hapa bongo ni UMANYAKI KWA KWENDA MBELE hakuna ubinadamu.:msela: