Jua kazi inayokufaa kulingana na tarehe yako ya kuzaliwa




mkuu ni kweli maana mm ni wa tar 1,na kweli nilikuwa muigizaji,kiongozi na msemaj kwny matukio meñg tu,mpaka nimemaliza o-level
ila sasa nakomàà na engineering c bora nikàsome political science
 
Mi nimezaliwa trh 9 but napenda uengner vipi hapo?? Mambo ya ushaur na uponyji wala sipo
 
Dr MziziMkavu Umenigusa kwakweli.. Nakuomba Ukiweka utabiri wa vifo ukumbuke kuni-tag tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Mkuu MziziMkavu unatisha. Sikutaka ku-respond mapema kwa sababu nilitaka nipime hili bandiko lako kupitia mimi, familia yangu yote, marafiki zangu, na watu baki tu ambao ninajua tarehe zao za kuzaliwa. You are spot on. Asante sana.

Sasa naomba sana utustiri na jambo moja tu. Usijaribu hata siku moja kuleta mada hapa inayotuambia tutakufa lini na tutakufaje. Utatumaliza wengine kabla ya siku zetu.

Mimi niliwaeleza watu siku nyingi sana kuwa Dr. MziziMkavu is the real deal. Ona sasa. - BRAVO.
 
Last edited by a moderator:
Katika karne hii ya wasomi bado unaamini huu upuuzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…