Jua kazi inayokufaa kulingana na tarehe yako ya kuzaliwa

MziziMkavu wee ni hatari kwa kutugusa aiseee ila nilichobaini ni kwamba vipaji vyetu hupotelea njiani kwa namna moja au nyingine...naungana na @ kifyatu usiweke tarehe na namna tutakavyo kufa kwakweli
 
Last edited by a moderator:
.....Kama umezaliwa tarehe 15 ya mwezi wowote wewe ni mtu wa diplomasia na vile vile ni mtu ambaye una uwezo wa kujifunza na kujua lugha nyingi, unaweza kuwa Mfanyakazi mzuri wa taasisi za fedha, au balozi mzurri au mtafsiri mzuri...

Kumbe nina potential ya kujua lugha nyingi eee!? ngoja nikomae na Kifaransa hiki...
 
duu mtoa ushauri wa mambo ya kiroho? hapana kabisaa
 
Mkuu vipi kuhusumahusiano kati ya tarehe ya kuzaliwa na Aina au namna ya kifo?.
 
Mkuu vipi kuhusumahusiano kati ya tarehe ya kuzaliwa na Aina au namna ya kifo?.
Ukitaka kujuwa sababu ya kifo chako kitakuwaje nitumie email baruwa ya pepe email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com nitakuambia sababu ya kifo chako sitoweza kukwambia lini utakufa ila nitakuambia ishara ya kuwa wewe unakaribia kufa kazi unipatie tarehe yako ya kuzaliwa na mwezi wako na mwako kwenye email utakayo nitumia
 
daah aise naona imenigusa kiaina flani halaf ni kweli....
 

Hapa ndo pagumu kumeza!
 
Kuna ukweli mkubwa sana hapa.

MziziMkavu umetisha sana.

Nakisomo changu lakini napenda kufanya kazi isio hitaji kisomo sana kumbe kuna sababu zàke.
 
Kuna ukweli mkubwa sana hapa.

MziziMkavu umetisha sana.

Nakisomo changu lakini napenda kufanya kazi isio hitaji kisomo sana kumbe kuna sababu zàke.
Ndugu uwe makini,issue siyo yeye kutisha ishu ni mwisho wako wewe unayeya amini haya utakuaje.Hii elimu ya mambo ya nyota ni kweli ipo na elimu nyingine za aina hiyo,Mungu alizuia tusitegemee hizi akijua zitakufanya usione umuhimu wa kumtegemea yeye.Msiojua mnaona kama ni vitu vya kawaida lakini huu ni mtego,kidogokidogo imani yako itahamia huko.
Kuwa makini ndugu yangu.
Kuna watu wanavaa ile mipete ya kuleta bahatai unajua ni kwa nini na inafanya kazi vipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…