Jua kazi inayokufaa kulingana na tarehe yako ya kuzaliwa

Iyo 13 ndio mimi Mzizi mkavu na ukiangalia nipo india katika kampuni fulani ya ujenzi naendelea na maisha. Nahisi kama kuna ukweli fulani ijapokua wahindi ni ngumu kukupandisha juu, na kuondoka hawataki uondoke
 
Tarehe 28 wala sina interest na hzo mishe
 
tar 11 ramli yako imenishika mkuu, hela sijui niweke kwenye ungo, kinu au nikupe mkononi?
 
 
SWALI KWA MZIZI MKAVU
Samahani unaweza kutwambia na wewe tarehe yako ....!
 
Mkuu mi niko namba 8...............ila umeingia chaka siajwai kufanya kazi benki bali ni Mhandisi.

hii imekaaje?
 
yaan hata kama tareh nyingine umekosea kutabiri ila hiyo 17 umegusa mule mule 99%
 
Navyopenda kusafiri inaweza kuwa kweli ila sasa kufanya kazi na wanyama uwiii siwezi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…