Tafadhali Watanzania na wana JF, naomba mwenye Judgement (criminal) ya kesi ya aliyekuwa Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa anisaidie, nina shida nayo ndani ya siku mbili hizi.
Huyu jamaa, inasemekana aliuwawa na Polisi walihukumiwa kifungo. Lakini nina haha kupata hukumu yao bila mafanikio.
Tafadhali, naomba kuwasilisha
Huyu jamaa, inasemekana aliuwawa na Polisi walihukumiwa kifungo. Lakini nina haha kupata hukumu yao bila mafanikio.
Tafadhali, naomba kuwasilisha