Judgment Day: May 21, 2011 (Really?)

inawezekana kweli bana. Hapa kijijini leo kuna mbuzi mmoja analia tu, hii imetupa wasi wasi kweli aisee.
Tangazo: Kinadada sipokei PM leo mpaka kesho ipite salama. aaaamen!
 
tunaisubiri hiyo kesho, tukesheni tukioma jamani! Mh!!
 
Hope its not end of the World ( judgement day), because it's my birthday and I want to go for a pint on Saturday night.
 
mi nashidwa kuelewa je kuna tofauti gani kati ya unyakuo (rapture) na judjementment day...which one will happen first?
 
Hope its not end of the World ( judgement day), because it's my birthday and I want to go for a pint on Saturday night.

Mate !! me too - we have the same day - congraturation's both of us.
 
mi nashidwa kuelewa je kuna tofauti gani kati ya unyakuo (rapture) na judjementment day...which one will happen first?
 
no one know day, time, minute, second and even fraction of second. Only God know that.
Labda Huyu mtbr alikuwa mwumini wa sheikh akiamini siku yake ya mwisho ndio itakuwa mwisho wa dunia.
 
hahaha... leo tarehe 20.. ijumaa!! usiku huowa nashinda club hadi hadi asubuhi... tehetehe!!! mwisho wa dunia utanikuta siku mbaya ! NIMEZIMA!

Yes my Savior, leo ni Bob Marley Day pale Msasani Club! Duh! Sijui itakuwaje!!!
 
Sasa isipokuwa mwisho wa dunia ... bible itakuwa imekosea ..?! maana viongozi wetu wanatoa ushahidi kutoka ndani ya bible! je vipi kuhusu zile nchi tulizopishana nazo siku nzima! mwisho wa dunia kwao utatangulia....!?

Dini bana!...

Yaani New Zealand, Australia tayari mwisho wa Dunia umeshafika!! Muda mchache ujao ni zamu ya Japan na China! Tehe tehe tehe!!!
 
huyo preacher harold camping anatafuta umaarufu kilazima 1st tyme alisema yesu atarudi.akawachukua wafuac wake kwenda kumpokea na aku apear now kalizusha kubwa kuliko la mwanzo so hy ni kawaida yake kuzusha mambo.
 
Hukuna mwisho wa dunia leo, wote waliotabiri ni wababaishaji, hata malaika hawajui sembuse wao. Waliotabiri hivyo mwisho wa siku wataumbuka.
 
huyo preacher harold camping anatafuta umaarufu kilazima 1st tyme alisema yesu atarudi.akawachukua wafuac wake kwenda kumpokea na aku apear now kalizusha kubwa kuliko la mwanzo so hy ni kawaida yake kuzusha mambo.

kibwetere si ndo aliunguza watu af yesu hakutokea ?
 
huyo preacher harold camping anatafuta umaarufu kilazima 1st tyme alisema yesu atarudi.akawachukua wafuac wake kwenda kumpokea na aku apear now kalizusha kubwa kuliko la mwanzo so hy ni kawaida yake kuzusha mambo.

Tusibishe sana, nasikia hata yesu aliposema kuna mmoja kati ya mitume wake atamsaliti wapo waliosema huyu jamaa akilewa huwa anpenda sana kuropoka, licha siamini kuwa ni mwisho wa dunia ila naogopa sna ukiangalia na haya matukio ya leo!!
 

Okay basi tusali sana wanajanvi wenzangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…