Judgment Day: May 21, 2011 (Really?)

hakuna ajuae siri ya mungu. katika vitu ambavyo mungu ameweka secreti kwa wanadamu ni kujua siku ya kufa na mwisho wa dunia.

watu waache kuzusha mambo au mnasahau ya kibwetere?
 
Inna Lillah Waina Illahi Rajoon.

Tsubiri hiyo kesho waje na sababu zingine.
 
hahaha! .... Basi kesheni mkiomba maana hamjui siku wala saa atayorudi mwana wa adamu....atarudi kama mwivi ajae usiku, basi kama mwenye nyumba angejua ni lini na saa nagpi mwivi angekuja kuvunja nyumba yake angejiandaa... kulikuwa na mfanyibiashara nae akaondoka kwenda safari ya mbali, aliacha maagizo kwa wafanyakazi wake kila mtu akimpa jukumu la kufanya hadi walinzi wake na wala hakuwaambia ni lini na saa ngapi atarejea.. kwa hiyo kuweni macho kama wale watumishi ili bwana wao atakaporudi asiwakute wamelala!
 
Sisi wenzenu huku tumeshahukumiwa tayari! Mjindae huko zamu yenu inakuja muda si mrefu!
 
Wakuu kuna hii habari niliisikia kwa mbali kwenye redio kwamba kuna watu wanasambaza habari duniani kuwa mwisho wa dunia ni kesho,cjazipata poa hizo news, kama **** mtu ana details anijulishe
 
bado masaa machache ifike trh 21/05/2011, hapa nimechukua mkwanja wakutosha, leo ni kula bada mpaka basi. Kiama kitanikuta baa, je wewe utakuwa wap? Unafanya nin?
 
Australia na Newzeland hakuna mawasiliano, nadhani wameshakwisha huko. LOL!
 
bado masaa machache ifike trh 21/05/2011, hapa nimechukua mkwanja wakutosha, leo ni kula bada mpaka basi. Kiama kitanikuta baa, je wewe utakuwa wap? Unafanya nin?

Nadhani nitakuwa kwenye foleni hata kwenye atm ya umoja switch naweza nisiwahi, kweli noma.
 
Kama kweli, Sir God atanikuta home namsubiria!
 
bado masaa machache ifike trh 21/05/2011, hapa nimechukua mkwanja wakutosha, leo ni kula bada mpaka basi. Kiama kitanikuta baa, je wewe utakuwa wap? Unafanya nin?

wewe ni jehanam automatically
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…