Juhudi anazozionesha Kibu Denis kwenye uwanja wa mazoezi zinanifanya nimkumbuke Habibu Kyombo msimu uliopita

Juhudi anazozionesha Kibu Denis kwenye uwanja wa mazoezi zinanifanya nimkumbuke Habibu Kyombo msimu uliopita

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Mashabiki wa Simba sc wanamshangilia Kibu Denis kwa mazuri/juhudi anazozionesha kwenye uwanja wa mazoezi na kusahau kabisa alichokifanya Habibu Kyombo msimu uliopita.

Habibu Kyombo alicheza kwa bidii na kufunga magoli katika mechi za kirafiki lakini linapokuja suala la mechi maalumu aliishia kukaa benchi na waliingia wachezaji ambao hawakuonesha juhudi na kufunga magoli katika mechi za kirafiki.

My take sioni sababu ya kumuimba Kibu Denis katika mechi za kirafiki, ubora wa kibu Denis utaonekana endapo michuano itaanza.

1690474631322.jpg
 
Acha KIBU DEE MTOMBANGILE aendelee alipoishia. Msimu wake wa kwanza ndani ya uzi wa mnyama alikuwa top scorer wa timu, msimu wa pili ndo huo ambao Diarra hatakuja kumsahau.

Sasa unapata wapi ujasiri wa kumsema vibaya mchezaji bora wa Nchi?.

Nikikuuliza unitajie mchezaji mwenye workrate kumzidi Rasta man toka timu yoyote anayecheza nafasi yake utamtaja nani?.

#BOB MARLEY KIBOKO YAO#
 
Mashabiki wa Simba sc wanamshangilia Kibu Denis kwa mazuri/juhudi anazozionesha kwenye uwanja wa mazoezi na kusahau kabisa alichokifanya Habibu kyombo msimu uliopita.

Habibu kyombo alicheza kwa bidii na kufunga magoli katika mechi za kirafiki lakini linapokuja suala la mechi maalumu aliishia kukaa benchi na waliingia wachezaji ambao hawakuonesha juhudi na kufunga magoli katika mechi za kirafiki.

My take sioni sababu ya kumuimba kibu Denis katika mechi za kirafiki, ubora wa kibu Denis utaonekana endapo michuano itaanza.

View attachment 2700741
Na Yanga ile ilikuwa match ya kirafiki? Huyu mshenzi alitaka muua kipa wetu na lile shoot lake
 
Mashabiki wa Simba sc wanamshangilia Kibu Denis kwa mazuri/juhudi anazozionesha kwenye uwanja wa mazoezi na kusahau kabisa alichokifanya Habibu Kyombo msimu uliopita.

Habibu Kyombo alicheza kwa bidii na kufunga magoli katika mechi za kirafiki lakini linapokuja suala la mechi maalumu aliishia kukaa benchi na waliingia wachezaji ambao hawakuonesha juhudi na kufunga magoli katika mechi za kirafiki.

My take sioni sababu ya kumuimba Kibu Denis katika mechi za kirafiki, ubora wa kibu Denis utaonekana endapo michuano itaanza.

Ubora Wake waulize yanga

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom