NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Juhudi na kujituma kwa jasho na damu ndiyo mafanikio makubwa kwa Fiston kalala Mayele "The Vibrater".
Mayele alikuja Yanga SC baada ya Yanga SC kumuuza Tuisla Kisinda kwenda RS Berkane.
Mayele huko alipotoka alikua siyo star sana kama hivi anavyoimbwa sana na kuogopwa sana na mashabiki wa Simba SC na kupelekea mpaka baadhi ya mashabiki kusema; "Ahsante Mungu kwa kumuondoa huyu kiumbe anayetunyima furaha katika ligi yetu."
Napomuongelea Fiston kalala Mayele ni kama jitu kubwa sana, liite "Unju bin uniq", linapokuwa kwenye pitch ni duzaster kwa mabeki na makipa wa NBC PL, lakini dude hili lina juhudi za kujituma, nidhamu na lenye uchu wa maendeleo na pesa pia kuweka kibindoni.
"Mimi nimekuja Tanzania kutafuta pesa na ndiyo maana napambana sana."
The Vibrater Fistoni kalala Mayele alisikika kwenye interview moja baada ya kuwahabarisha wanahabari namna gani ana uchu na matamanio ya kutengeneza mkwanja na ndiyo maana anafanya bora ili mabosi waendelee kumpa kandarasi nzuri na nono.
NALIA NGWENA kwa kutumia juhudi za Mayele na mafanikio aliyoyaonesha naona kabisa wachezaji wetu wazawa, kuna kitu cha kujifunza kupitia mwamba.
Wachezaji wetu wazawa wasibweteke kwa kufika Simba SC na Yanga SC na kuona kana kwamba wameshamaliza kila kitu na kuanza kucheza kifaza.
Kwani mafanikio ya mchezaji wa ndani ya ligi yetu wengi wao ni kucheza Simba SC na Yanga SC wanatakiwa kuondokana na hiyo akili watie juhudi.
Kwa heri The Vibrater Fistoni kalala Mayele, hakika umecha alama na elimu kubwa wachezaji wetu wazawa. Huna baya mwamba.
Mayele alikuja Yanga SC baada ya Yanga SC kumuuza Tuisla Kisinda kwenda RS Berkane.
Mayele huko alipotoka alikua siyo star sana kama hivi anavyoimbwa sana na kuogopwa sana na mashabiki wa Simba SC na kupelekea mpaka baadhi ya mashabiki kusema; "Ahsante Mungu kwa kumuondoa huyu kiumbe anayetunyima furaha katika ligi yetu."
Napomuongelea Fiston kalala Mayele ni kama jitu kubwa sana, liite "Unju bin uniq", linapokuwa kwenye pitch ni duzaster kwa mabeki na makipa wa NBC PL, lakini dude hili lina juhudi za kujituma, nidhamu na lenye uchu wa maendeleo na pesa pia kuweka kibindoni.
"Mimi nimekuja Tanzania kutafuta pesa na ndiyo maana napambana sana."
The Vibrater Fistoni kalala Mayele alisikika kwenye interview moja baada ya kuwahabarisha wanahabari namna gani ana uchu na matamanio ya kutengeneza mkwanja na ndiyo maana anafanya bora ili mabosi waendelee kumpa kandarasi nzuri na nono.
NALIA NGWENA kwa kutumia juhudi za Mayele na mafanikio aliyoyaonesha naona kabisa wachezaji wetu wazawa, kuna kitu cha kujifunza kupitia mwamba.
Wachezaji wetu wazawa wasibweteke kwa kufika Simba SC na Yanga SC na kuona kana kwamba wameshamaliza kila kitu na kuanza kucheza kifaza.
Kwani mafanikio ya mchezaji wa ndani ya ligi yetu wengi wao ni kucheza Simba SC na Yanga SC wanatakiwa kuondokana na hiyo akili watie juhudi.
Kwa heri The Vibrater Fistoni kalala Mayele, hakika umecha alama na elimu kubwa wachezaji wetu wazawa. Huna baya mwamba.