Juhudi zitumikazo Kutongoza!!

KakaKiiza

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,794
Reaction score
9,075
Najiuliza ninani mwalimu wangu wa mapenzi jibu sina na simjui!ajabu nakutana na mwanamke najipanga kaama naenda vitani nikikutana naye kwajinsi navyo mshushia misitari hata mimi ninashanga je najiuliza maneno yote yale yanatokaga wapi??mpaka kumbadilisha uelekeo mtu mzima hata kama alikuwa amemwacha bwanayake nje anaweza kumwambia tangulia nitakukuta nimepa dharula kidogo!!
Je kwanini sisi wanaume hizo jitihada tusiziweke kwenye kitu kingine tofauti ?hata kama nikuongeza kipato inaweza kuwa ninzuri zaidi!!
 
kuna mtu namtafuta humu, sijui yuko wapi?
 

Ni kweli , akili na muda mwingi tu, na hata ukikwama unajaribu tena, maana rasilimali iko mbele yako . Huko kwingine kwenye kipato kuna mambo mengi zaidi. Rasilimali haiko wazi kama hiyo ya kutongoza.
 

haya ni yako mimi simo.....................usinijumlishe humo labda ungeongelea nafsi yako na wapambe wako......................lol
 
Kuna CD inauzwa ina masomo na skills za "kutangaza" ntawapatieni copy moja moja wote kwa sharti la kuwapiga chini Magamba!
 
Kuna CD inauzwa ina masomo na skills za "kutangaza" ntawapatieni copy moja moja wote kwa sharti la kuwapiga chini Magamba!
Heeheeheee mkuu, sasa na sisi ambao tulishawapiga chini siku nyingi tufanyeje?!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…