Juice ya limau na asali inasaidia kupunguza mtu unene

Juice ya limau na asali inasaidia kupunguza mtu unene

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
(juice) ya limao na asali inasaidia kupunguza unene.

Uhalisia juu ya unene.
Unene unasababishwa na mambo mengi yakiwemo
• Tabia ya ulaji zaidi ya mwili unavyohitaji, mwili baada ya kuchukua hitajii lake huifadhi mabaki kama fat (mafuta) kadili unavyokula zaidi vyakula vya mafuta ndivyo unavyooongeza mafuta.
• Kutofanya mazoezi ya kutosha
• Mfumo wa umeng’enyaji chakula kutofanya kazi vizuri
• Kula vyakula vinavyozozolotesha uharakishwaji wa mfumo wa umeng’enywaji kama maziwa au nyakati za usiku. au kupenda kunya maji ya baridi baada ya chakula N.k

Asali na limao zote zinakemikali itayokusaidi kurahisisha umeng’enywaji kufanyika haraka hivyo utaweza kusikia njaa baada ya muda Fulani (huwenda ikawa ni mapema kuliko kawaida). Ikiwa utaendelea kula kila usikiapo njaa tiba hii haiwezai kukusaidia lolote.

Nilazima wakti Fulani tumbo lako liwe
tupu ili mwili utumie ziada ya chakula ulichohifadhi kama fat (mafuta).
Pia juice ya limao na asali zote zinasaidia kuifanya fati iliyopo mwilini mwako kutumika, utakuwa unajisikia njaa zizuie kula kila mara pia zizuie kula vyakula nyenye fati nyingi kama chipsi nyama choma ya mbuzi , supu etc

Faida nyingine ya juce ya limao na asali zinasaidia kuuwa bacteria ambao kwa namna moja au nyingie wanadhorotesha mfumo wa chakula na utoaji taka kufanya kazi vizuri. Kuvisaidia kufanya kazi vizuri kunya maji ya kutosha ikiwezekana ya vuguvugi.

Hitimisho
Tujiepushe kujiua kwa kujijengea kuwa na tabia ya kula vyakula vya mafuta bila kufanya kazi au mazoezi ambayo hupunguza mafuta mwilini. Zamani watu wengi walikuwa wanona unene ni sifa hata ukisia mtu akisema ‘umependeza umekuwa mnene’. Lakini ukweli ni kuwa unene umuweka mtu ktk mazingira hatarishi ya magonjwa malimabali ya viungo vya ndani kama Moyo, kuziba kwa mishipa ya damu, etc.

Tafit zianaonesha kuwa mafuta mwilini ni kama vichaka vya virusi na bacteria mbalimbali kujificha inakuwa ngumu kwa chembe nyeupe za damu (ambazo hujulikana kama askri wa mwili) kufikia na kuwaua.
Jiadhali na tabia hatarishi………punguza mafuta unapopika, usile vitu vingi vya sukari kwa siku, fanya mazoezi, kunywa maji ya kutosha, juepushe kujaza tumbo unapokula acha nafasi.

Asanteni. Nitapenda kusikia maoni
 
NiMESIKIA PIA KUHUSU MAJI YA UVUGUVUGU,ASALI NA MDALASINI INASAIDIA PIA.NAOMBA MNIJULISHE ZAIDI.ASANTE
 
Ingawa vizuri sana kama utatuwekea kipimo, yaani ratio ya asali kwa limau.
juice ya limau glasi moja na Uchanganye na asali kijiko kikubwa cha kulia wali kimoja kunywa kutwa mara tatu kila siku kabla ya kula chakula. Yaani kunywa asubuhi,Mchana na Usiku kila siku jaribu kutumia hii dawa kama miezi 3 utaona matokeo yake .
 
NiMESIKIA PIA KUHUSU MAJI YA UVUGUVUGU,ASALI NA MDALASINI INASAIDIA PIA.NAOMBA MNIJULISHE ZAIDI.ASANTE
Mkuu Jaydean

Kupungua kwa uzito

Wawezakufurahia vyakula vyote unavyopenda, kuwa na afya nzuri na kupunguza uzito wa mwili

ambao hauhitajiki kwa kula chakula chenye nguvu na ladha nzuri, kilichojaa vitu viwili muhimu vya asili

ambavyo ni asali na mdalasini.unachohitajika kufanya ni kuhakikisha unavitumia vyote kwa kiasi katika

mapishi yako. Vilevile, wataalamu wanasema unaweza kuondoa mabonge ya uvimbe wa nyamanyama nje

ya mwili kwa kuanza siku yako kwa kutumia vijiko viwili vya asali iliyochanganywa na kijiko kimoja cha

mdalasini ndani ya bilauri ya maji vuguvugu. Rudia mchanganyiko huu kabla ya kulala.

Wakati wa kipindi cha baridi kinapokaribia, ambacho kinaambatana na mazoezi machache, kuongeza

hivi vitu viwili vya asili katika chakula ni muafaka. Pia kinywaji hiki vuguvugu kimeshahakikishwa na

wataalamu wa lishe kwamba hupunguza hamu ya kula pamoja na kuleta joto mwilini.
 
Last edited by a moderator:
Kwa wale Wenye kutaka Kwa Haraka Kupunguza Uzito,Unene, na kilo unaweza kunitafuta mimi nikawapa dawa na ukapunguw aharaka iwezekanavyo. DAWA YA KUPUNGUZA UNENE,KILO TUMBO NA MAFUTA NINAYO dawa ınaıtwa kwa jına hılı natural fıtoform plus+ ukıhıtajı
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169

FITOFORM PLUS.jpg
 
(juice) ya limao na asali inasaidia kupunguza unene.

Uhalisia juu ya unene.
Unene unasababishwa na mambo mengi yakiwemo
• Tabia ya ulaji zaidi ya mwili unavyohitaji, mwili baada ya kuchukua hitajii lake huifadhi mabaki kama fat (mafuta) kadili unavyokula zaidi vyakula vya mafuta ndivyo unavyooongeza mafuta.
• Kutofanya mazoezi ya kutosha
• Mfumo wa umeng’enyaji chakula kutofanya kazi vizuri
• Kula vyakula vinavyozozolotesha uharakishwaji wa mfumo wa umeng’enywaji kama maziwa au nyakati za usiku. au kupenda kunya maji ya baridi baada ya chakula N.k

Asali na limao zote zinakemikali itayokusaidi kurahisisha umeng’enywaji kufanyika haraka hivyo utaweza kusikia njaa baada ya muda Fulani (huwenda ikawa ni mapema kuliko kawaida). Ikiwa utaendelea kula kila usikiapo njaa tiba hii haiwezai kukusaidia lolote.

Nilazima wakti Fulani tumbo lako liwe
tupu ili mwili utumie ziada ya chakula ulichohifadhi kama fat (mafuta).
Pia juice ya limao na asali zote zinasaidia kuifanya fati iliyopo mwilini mwako kutumika, utakuwa unajisikia njaa zizuie kula kila mara pia zizuie kula vyakula nyenye fati nyingi kama chipsi nyama choma ya mbuzi , supu etc

Faida nyingine ya juce ya limao na asali zinasaidia kuuwa bacteria ambao kwa namna moja au nyingie wanadhorotesha mfumo wa chakula na utoaji taka kufanya kazi vizuri. Kuvisaidia kufanya kazi vizuri kunya maji ya kutosha ikiwezekana ya vuguvugi.

Hitimisho
Tujiepushe kujiua kwa kujijengea kuwa na tabia ya kula vyakula vya mafuta bila kufanya kazi au mazoezi ambayo hupunguza mafuta mwilini. Zamani watu wengi walikuwa wanona unene ni sifa hata ukisia mtu akisema ‘umependeza umekuwa mnene’. Lakini ukweli ni kuwa unene umuweka mtu ktk mazingira hatarishi ya magonjwa malimabali ya viungo vya ndani kama Moyo, kuziba kwa mishipa ya damu, etc.

Tafit zianaonesha kuwa mafuta mwilini ni kama vichaka vya virusi na bacteria mbalimbali kujificha inakuwa ngumu kwa chembe nyeupe za damu (ambazo hujulikana kama askri wa mwili) kufikia na kuwaua.
Jiadhali na tabia hatarishi………punguza mafuta unapopika, usile vitu vingi vya sukari kwa siku, fanya mazoezi, kunywa maji ya kutosha, juepushe kujaza tumbo unapokula acha nafasi.

Asanteni. Nitapenda kusikia maoni
Asante sana
 
juice ya limau glasi moja na Uchanganye na asali kijiko kikubwa cha kulia wali kimoja kunywa kutwa mara tatu kila siku kabla ya kula chakula. Yaani kunywa asubuhi,Mchana na Usiku kila siku jaribu kutumia hii dawa kama miezi 3 utaona matokeo yake .
Unamaanisha maji ya limao tupu au mchanganyiko wa maji na limao? Na
Kama ni mchanganyiko limao kama ngap size ya kati?
Na je maji vuguvg au?
 
Unamaanisha maji ya limao tupu au mchanganyiko wa maji na limao? Na
Kama ni mchanganyiko limao kama ngap size ya kati?
Na je maji vuguvg au?
Limao 1 kubwa kamuwa kisha tia ndani ya glasi ya maji ya uvuguvugu kisha tia Asali kijiko 1 kikubwa koroga vizuri unywe kabla ya kula kitu asubuhi na jioni kila siku.Asali iwe ya orignal isiwe Asali ya kuchakachuliwa dawa itakuwa haifanyi kazi.
 
Limao 1 kubwa kamuwa kisha tia ndani ya glasi ya maji ya uvuguvugu kisha tia Asali kijiko 1 kikubwa koroga vizuri unywe kabla ya kula kitu asubuhi na jioni kila siku.Asali iwe ya orignal isiwe Asali ya kuchakachuliwa dawa itakuwa haifanyi kazi.
Mkuu hii pia ni dawa nzuri kwa kikohozi.
 
Back
Top Bottom