Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,872
- 34,363
(juice) ya limao na asali inasaidia kupunguza unene.
Uhalisia juu ya unene.
Unene unasababishwa na mambo mengi yakiwemo
Tabia ya ulaji zaidi ya mwili unavyohitaji, mwili baada ya kuchukua hitajii lake huifadhi mabaki kama fat (mafuta) kadili unavyokula zaidi vyakula vya mafuta ndivyo unavyooongeza mafuta.
Kutofanya mazoezi ya kutosha
Mfumo wa umengenyaji chakula kutofanya kazi vizuri
Kula vyakula vinavyozozolotesha uharakishwaji wa mfumo wa umengenywaji kama maziwa au nyakati za usiku. au kupenda kunya maji ya baridi baada ya chakula N.k
Asali na limao zote zinakemikali itayokusaidi kurahisisha umengenywaji kufanyika haraka hivyo utaweza kusikia njaa baada ya muda Fulani (huwenda ikawa ni mapema kuliko kawaida). Ikiwa utaendelea kula kila usikiapo njaa tiba hii haiwezai kukusaidia lolote.
Nilazima wakti Fulani tumbo lako liwe
tupu ili mwili utumie ziada ya chakula ulichohifadhi kama fat (mafuta).
Pia juice ya limao na asali zote zinasaidia kuifanya fati iliyopo mwilini mwako kutumika, utakuwa unajisikia njaa zizuie kula kila mara pia zizuie kula vyakula nyenye fati nyingi kama chipsi nyama choma ya mbuzi , supu etc
Faida nyingine ya juce ya limao na asali zinasaidia kuuwa bacteria ambao kwa namna moja au nyingie wanadhorotesha mfumo wa chakula na utoaji taka kufanya kazi vizuri. Kuvisaidia kufanya kazi vizuri kunya maji ya kutosha ikiwezekana ya vuguvugi.
Hitimisho
Tujiepushe kujiua kwa kujijengea kuwa na tabia ya kula vyakula vya mafuta bila kufanya kazi au mazoezi ambayo hupunguza mafuta mwilini. Zamani watu wengi walikuwa wanona unene ni sifa hata ukisia mtu akisema umependeza umekuwa mnene. Lakini ukweli ni kuwa unene umuweka mtu ktk mazingira hatarishi ya magonjwa malimabali ya viungo vya ndani kama Moyo, kuziba kwa mishipa ya damu, etc.
Tafit zianaonesha kuwa mafuta mwilini ni kama vichaka vya virusi na bacteria mbalimbali kujificha inakuwa ngumu kwa chembe nyeupe za damu (ambazo hujulikana kama askri wa mwili) kufikia na kuwaua.
Jiadhali na tabia hatarishi punguza mafuta unapopika, usile vitu vingi vya sukari kwa siku, fanya mazoezi, kunywa maji ya kutosha, juepushe kujaza tumbo unapokula acha nafasi.
Asanteni. Nitapenda kusikia maoni
Uhalisia juu ya unene.
Unene unasababishwa na mambo mengi yakiwemo
Tabia ya ulaji zaidi ya mwili unavyohitaji, mwili baada ya kuchukua hitajii lake huifadhi mabaki kama fat (mafuta) kadili unavyokula zaidi vyakula vya mafuta ndivyo unavyooongeza mafuta.
Kutofanya mazoezi ya kutosha
Mfumo wa umengenyaji chakula kutofanya kazi vizuri
Kula vyakula vinavyozozolotesha uharakishwaji wa mfumo wa umengenywaji kama maziwa au nyakati za usiku. au kupenda kunya maji ya baridi baada ya chakula N.k
Asali na limao zote zinakemikali itayokusaidi kurahisisha umengenywaji kufanyika haraka hivyo utaweza kusikia njaa baada ya muda Fulani (huwenda ikawa ni mapema kuliko kawaida). Ikiwa utaendelea kula kila usikiapo njaa tiba hii haiwezai kukusaidia lolote.
Nilazima wakti Fulani tumbo lako liwe
tupu ili mwili utumie ziada ya chakula ulichohifadhi kama fat (mafuta).
Pia juice ya limao na asali zote zinasaidia kuifanya fati iliyopo mwilini mwako kutumika, utakuwa unajisikia njaa zizuie kula kila mara pia zizuie kula vyakula nyenye fati nyingi kama chipsi nyama choma ya mbuzi , supu etc
Faida nyingine ya juce ya limao na asali zinasaidia kuuwa bacteria ambao kwa namna moja au nyingie wanadhorotesha mfumo wa chakula na utoaji taka kufanya kazi vizuri. Kuvisaidia kufanya kazi vizuri kunya maji ya kutosha ikiwezekana ya vuguvugi.
Hitimisho
Tujiepushe kujiua kwa kujijengea kuwa na tabia ya kula vyakula vya mafuta bila kufanya kazi au mazoezi ambayo hupunguza mafuta mwilini. Zamani watu wengi walikuwa wanona unene ni sifa hata ukisia mtu akisema umependeza umekuwa mnene. Lakini ukweli ni kuwa unene umuweka mtu ktk mazingira hatarishi ya magonjwa malimabali ya viungo vya ndani kama Moyo, kuziba kwa mishipa ya damu, etc.
Tafit zianaonesha kuwa mafuta mwilini ni kama vichaka vya virusi na bacteria mbalimbali kujificha inakuwa ngumu kwa chembe nyeupe za damu (ambazo hujulikana kama askri wa mwili) kufikia na kuwaua.
Jiadhali na tabia hatarishi punguza mafuta unapopika, usile vitu vingi vya sukari kwa siku, fanya mazoezi, kunywa maji ya kutosha, juepushe kujaza tumbo unapokula acha nafasi.
Asanteni. Nitapenda kusikia maoni