Juice za aina mbalimbali

Juice za aina mbalimbali

Washawasha

JF-Expert Member
Joined
Aug 7, 2006
Posts
16,717
Reaction score
13,176
Habari zenu wadau,binafsi nilikuwa nina mpango wa kuanza kuuza juisi za matunda fresh za aina mbalimbali,sandwich,hamburg na vitu vitamu vitamu mvijuavyo ili niweze kujiongezea kipato.
Sasa ombi langu ni kuomba kufunzwa jinsi ya kuziandaa hizo juisi,sandwich na hamburg,natanguliza shukrani zangu.
Vifaa nilivyonavyo ni blender,frying pan pamoja na jiko.
Nalog off
 
Tafuta Chef ambaye utapata kufanya naye kwa vitendo, na umlipe kidogo 🙂
Nalog in...
 
Kaka Washawasha kuhusu recipes sio tatizo kabisaa muhimu jipange zaidi kwenye vifaa hadi ili sandwich ziwe bomba sana utafute sandwich maker walau ya bei rahisi......


Inshallah mie ntaanza kukusaidia recipes za juices
 
Last edited by a moderator:
Kaka Washawasha kuhusu recipes sio tatizo kabisaa muhimu jipange zaidi kwenye vifaa hadi ili sandwich ziwe bomba sana utafute sandwich maker walau ya bei rahisi......


Inshallah mie ntaanza kukusaidia recipes za juices
Nashukuru sana dada farkhina, kwa msaada wa recipes unaotaka kunipa,M/mungu akutangulie katika hilo,nipo kwenye mchakato huo wa kutafuta vifaa vizuri na rahisi.
Nalog off
 
Last edited by a moderator:
Nimeshaanza kuuza juisi zenye ladha hizi.
1.Machungwa na nanasi.
2.tikiti maji na machungwa.
3.strawberry na maziwa.
4.juisi ya limao
5.vitamin.
6.juisi ya machungwa
Naomba kama kuna ladha zaidi unifundishe da farkhina,
Nalog off
 
Last edited by a moderator:
Nimeshaanza kuuza juisi zenye ladha hizi.
1.Machungwa na nanasi.
2.tikiti maji na machungwa.
3.strawberry na maziwa.
4.juisi ya limao
5.vitamin.
6.juisi ya machungwa
Naomba kama kuna ladha zaidi unifundishe da farkhina,
Nalog off

1)ukwaju na water melon....kuna arki fulani ambayo yaongeza flavor zaidi naitwa potessa ongezea kwa ladha nzuri zaid

2)avacado,tangawizi,tango na ndimu... hii ndio niipendayo hii usiifanye nyepesi sana...

3)nanasi ikiwa pekee inapendeza zaidi...

4)passion na maembe mapevu....

5)mabungo pekee sijui kama huko yapo hii ni best juice kuliko zote duniani lol
 
Last edited by a moderator:
Nimeshaanza kuuza juisi zenye ladha hizi.
1.Machungwa na nanasi.
2.tikiti maji na machungwa.
3.strawberry na maziwa.
4.juisi ya limao
5.vitamin.
6.juisi ya machungwa
Naomba kama kuna ladha zaidi unifundishe da farkhina,
Nalog off

Maziwa yana juice
 
Last edited by a moderator:
1)ukwaju na water melon....kuna arki fulani ambayo yaongeza flavor zaidi naitwa potessa ongezea kwa ladha nzuri zaid

2)avacado,tangawizi,tango na ndimu... hii ndio niipendayo hii usiifanye nyepesi sana...

3)nanasi ikiwa pekee inapendeza zaidi...

4)passion na maembe mapevu....

5)mabungo pekee sijui kama huko yapo hii ni best juice kuliko zote duniani lol
Nashukuru sana kwa hii nyongeza bi dada,mabungo huku sijawahi yaona. Hizi mbili mimi ndio huwa nazipenda sana,machungwa na nanasi au maziwa na strawberry.
Nalog off
 
Back
Top Bottom