Dotto Mnzava
R I P
- Mar 6, 2014
- 864
- 427
Nauliza je ukichanganya asali na ndimu faida zitzbaki zilezile au zitabadilika? pia ni lazima iwe ya vuguvugu?
Ni kweli kwamba ukianza siku yako na na juisi ya limao ya vuguvugu na asali kijiko kimoja,itakusaidia kuondoa baadhi ya uchafu katika ini, kuongeza uwezo wa mwili kupambana na magonjwa,na mengineyo?
Pia husaidia kusafisha Mfumo wako wa chakula, kuondoa sumu mwilini na kuzuia tumbo kujaa gesi mara kwa mara?
Mbona nilisikia unadedi
hivi ni asali na ndimu/limao au asali na tango ndio una-dead, me nilisikiaga ni tango na asali...na mie nilisikia hivyo hivyo, leo nasikia inasafisha tumbo, tumuamini nani
Vijiko viwili..Umesema asali ni kijiko 1. Je juisi ya limau inatakiwa kuwa kiasi gani?
Vijiko viwili..
Aah hapa sio slm tena manake wengine wanasema una kufa?
mbona mi shaga ambiwa kuwa hiyo ni sumu? Aise angalieni msije mkatulisha matango pori ohoooooo....!!!
Mbona nilisikia unadedi
Hapana sii sumu ila inaondoa sumu mwilini,ila usitumie mixer ya asali na ndimu kabisa.
Ndimu na limao vina asili inayofana. Hivyo ukikosa limau unaweza kutumia ndimu. Hakuna madhara yoyote kuchanganya ndimu na asali.