Juisi Ya Safisha Figo lilikuwa ni chafu Kidney cleanse juice

Juisi Ya Safisha Figo lilikuwa ni chafu Kidney cleanse juice

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
Kusafisha Figo lililokuwa ni chafu ili liweze kufanya kazi vizuri.

Chukuwa embe moja kubwa kata Vipande vidogo, kisha kata Vipande vidogo Tufaha la kijani aka Apple.

Kisha Kata limao vipande vidogo kisha kata chungwa vipande vidogo. Kisha kata kipande kimoja cha Tangawizi mbichi kisha Changanya pamoja Weka katika mashine ya blenda na weka maji nusu lita saga vizuri chuja.

Matumizi yake kunywa kila siku Asubuhi kabla ya kula kitu kwa muda wa siku 7 itakusaidia kusafisha figo na kuondoa mawe katika figo lako.


 
Daktari wa kusaidia jamii ni mfano mzuri kwa wanataaluma wengine🙏.

Je'na nikitaka kuuza figo nicheze aviator nafanyaje Doctor?
 
Inasaidia hata kwa ambao figo limeharibika kwasababu ya pombe?
 
Inasaidia hata kwa ambao figo limeharibika kwasababu ya pombe?
Kila ugonjwa una dawa yake isipokuwa kifo na uzee
Kinywaji bora ni MAZIWA ya NG'OMBE lakini nyama yake ina maradhi mengi

Usinywe pombe acha na kunywa Energy drink na soda za viwandani
Maji yawe kinywaji chako namba 1 kunywa JUISI za kutengeneza wewe mwenyewe
Jitahidi usipate maradhi yakakulazimu kutumia dawa haswa za antbiotic
Acha ZINAA

Tumia hiyo dawa alokuelekeza mzizi mkavu
Kuwa na imani kwa uwezo wa MUNGU itakuponya
Na bira shaka kwa uwezo wake utapona
 
Kila ugonjwa una dawa yake isipokuwa kifo na uzee
Kinywaji bora ni MAZIWA ya NG'OMBE lakini nyama yake ina maradhi mengi

Usinywe pombe acha na kunywa Energy drink na soda za viwandani
Maji yawe kinywaji chako namba 1 kunywa JUISI za kutengeneza wewe mwenyewe
Jitahidi usipate maradhi yakakulazimu kutumia dawa haswa za antbiotic
Acha ZINAA

Tumia hiyo dawa alokuelekeza mzizi mkavu
Kuwa na imani kwa uwezo wa MUNGU itakuponya
Na bira shaka kwa uwezo wake utapona
Mkuu Mzimu, mambo ya zinaa yametokea wapi tena? Hahahaaa
 
Back
Top Bottom