Juisi ya tende yenye maziwa mgando na alkasusu nani anaweza kutupa ubora wake kuimarisha tendo

Juisi ya tende yenye maziwa mgando na alkasusu nani anaweza kutupa ubora wake kuimarisha tendo

Brightg

JF-Expert Member
Joined
Sep 24, 2013
Posts
372
Reaction score
662
Kwa mara ya kwanza nimekunywa juice ya Tende ikiwa na maziwa ya mdango sikuamini, siku yangu ilikuwa njema sana nikiwa na bestfriend wangu, nimewahi kunywa Alkasusu ila sikuona kama performance yake ilikuwa sana kivile but to an extent ila juice ya tende yenye maziwa mgando Eish.

Mtujuze wataalam ambaye ana utaalam wa hivi vinywaji tupeni ushuhuda wenu.
 
Kimsingi Tanzania tunaongoza kwa kufanya research uchwara na pia kutengeneza hypothesis kwenye mambo ya kuboost nguvu za kiume..inabidi tushinde nobel prize..Period
 
Kwa mara ya kwanza nimekunywa juice ya Tende ikiwa na maziwa ya mdango sikuamini, siku yangu ilikuwa njema sana nikiwa na bestfriend wangu, nimewahi kunywa Alkasusu ila sikuona kama performance yake ilikuwa sana kivile but to an extent ila juice ya tende yenye maziwa mgando Eish.

Mtujuze wataalam ambaye ana utaalam wa hivi vinywaji tupeni ushuhuda wenu.
...Mbona tena unauliza swali ambalo kwa mujibu wa maandishi yako jibu lake umeishalipata wewe mwenyewe kwamba Juice ya Tende na maziwa mgando kwako ni bora kuliko Huyo ...'Ally Kasusu'??[emoji16]
 
Kwa mara ya kwanza nimekunywa juice ya Tende ikiwa na maziwa ya mdango sikuamini, siku yangu ilikuwa njema sana nikiwa na bestfriend wangu, nimewahi kunywa Alkasusu ila sikuona kama performance yake ilikuwa sana kivile but to an extent ila juice ya tende yenye maziwa mgando Eish.

Mtujuze wataalam ambaye ana utaalam wa hivi vinywaji tupeni ushuhuda wenu.
Sifa yake utajamba sana tu na utakunya vizuri.

Alafu sifa ingine uwingi wa manii utaongezeka hivyo kupelekea goli liwe tamu
 
Kwa mara ya kwanza nimekunywa juice ya Tende ikiwa na maziwa ya mdango sikuamini, siku yangu ilikuwa njema sana nikiwa na bestfriend wangu, nimewahi kunywa Alkasusu ila sikuona kama performance yake ilikuwa sana kivile but to an extent ila juice ya tende yenye maziwa mgando Eish.

Mtujuze wataalam ambaye ana utaalam wa hivi vinywaji tupeni ushuhuda wenu.
Ukitaka uwe na nguvu za kiume funga aka kaa na njaa kuanzia asubuhi saa 12 mpaka usiku saa moja kwa siku 21 au siku 31 utakuwa na nguvu za kiume nyingi sana.

DR SEBI TALK ON Impotence.png
 
Back
Top Bottom