...Mbona tena unauliza swali ambalo kwa mujibu wa maandishi yako jibu lake umeishalipata wewe mwenyewe kwamba Juice ya Tende na maziwa mgando kwako ni bora kuliko Huyo ...'Ally Kasusu'??[emoji16]Kwa mara ya kwanza nimekunywa juice ya Tende ikiwa na maziwa ya mdango sikuamini, siku yangu ilikuwa njema sana nikiwa na bestfriend wangu, nimewahi kunywa Alkasusu ila sikuona kama performance yake ilikuwa sana kivile but to an extent ila juice ya tende yenye maziwa mgando Eish.
Mtujuze wataalam ambaye ana utaalam wa hivi vinywaji tupeni ushuhuda wenu.
Sifa yake utajamba sana tu na utakunya vizuri.Kwa mara ya kwanza nimekunywa juice ya Tende ikiwa na maziwa ya mdango sikuamini, siku yangu ilikuwa njema sana nikiwa na bestfriend wangu, nimewahi kunywa Alkasusu ila sikuona kama performance yake ilikuwa sana kivile but to an extent ila juice ya tende yenye maziwa mgando Eish.
Mtujuze wataalam ambaye ana utaalam wa hivi vinywaji tupeni ushuhuda wenu.
Ukitaka uwe na nguvu za kiume funga aka kaa na njaa kuanzia asubuhi saa 12 mpaka usiku saa moja kwa siku 21 au siku 31 utakuwa na nguvu za kiume nyingi sana.Kwa mara ya kwanza nimekunywa juice ya Tende ikiwa na maziwa ya mdango sikuamini, siku yangu ilikuwa njema sana nikiwa na bestfriend wangu, nimewahi kunywa Alkasusu ila sikuona kama performance yake ilikuwa sana kivile but to an extent ila juice ya tende yenye maziwa mgando Eish.
Mtujuze wataalam ambaye ana utaalam wa hivi vinywaji tupeni ushuhuda wenu.