Lufunga atapata shida sana pale kale....Ukiingatia anakutana na mtu ambaye anamsumbua sana ...mara kwa mara.Tambwe kufunga lile goli ni kosa la kawaida ambalo halistahili kumlaum beki kwa next mechi....kwa maoni yangu lufunga bado ni beki mzur ...bado Kisiki banda hajarejea juko acheze karata tu huko kwao
Atapta usumbufu kutoka kwa nani??? wauza sembe wana msuva na kamusoko bhasss wngine hamna kituLufunga atapata shida sana pale kale....Ukiingatia anakutana na mtu ambaye anamsumbua sana ...mara kwa mara.
Kuhusu huyo Banda....nadhani ndio siku ambayo mtamjua vyema....na rafu zake isizo na msingi..
Akiwepo Banda/Lufunga naiona penalty ileeeee kwa mbali..
Atapta usumbufu kutoka kwa nani??? wauza sembe wana msuva na kamusoko bhasss wngine hamna kitu
mkuu umenichekesha na nipo msiban
Mbona umewataja wauza sembe wachache? Mara hii umesha msahau Tambwe a.k.a Maradona? Tambwe ndio Escobar mkuuu kwenye safu ya pale mbele.
Kete yeyote ile ikimfikia lazima aisukume kambani, nadhani hauto msahau huyu mnyama.
au unataka tuzungumzie ya Chirwa? huyu ni Escobar msaidizi. Nadhani kama unafuatilia takwimu huto leta mjadala wa kubishana kuhusu ubora wake!
Kuna Muuza sembe wetu mkuu....Atapta usumbufu kutoka kwa nani??? wauza sembe wana msuva na kamusoko bhasss wngine hamna kitu
hizi nyumbuu zotee dawa yao ni Banda Tu!!TAMBWE....NGOMA....MSUVA.....CHIRWA.....sijui huyo KIBURI wenu atamkaba nani hapo
Hapo kadi nyekundu haiepukiki.hizi nyumbuu zotee dawa yao ni Banda Tu!!
Banda sio wa kipind kile saiv kabadilika sana ameshakuaHapo kadi nyekundu haiepukiki.
Yangu machoBanda sio wa kipind kile saiv kabadilika sana ameshakua
Wanajua kaz yake Ndio maana wanamuombea redWanayanga mumesahau mapinduzi cup nani alicheza kama siyo banda? Je alipewa kadi nye kudu?
Tshabalala hachezi Tanzania.....Hivi shabarala ndo nan au ni usajili mpya wa msimbaz na Mwangale naye ni mchezaji Mpya nini,?
Ninaowafahamu Mimi ni Tshabalala na Mwanjali
Sasa mbona mlifukuza kipa kama tatizo ni Lufunga....Freeland, mechi zote mbili tulizofungwa mzunguko wa kwanza ni kwa sababu ya lufunga wala siyo mwingine
Yap hilo ni kweli kabisaJuuko Murshid haelewani na Benchi la Ufundi hasa Kocha Mkuu Joseph Omoga hivyo hana raha Kikosini na alichokifanya baada ya kuligundua hilo ni kumlazimisha Wakala wake amtafutie Timu ili Mkataba wake wa Simba SC ambao hata hivyo umekaribia kufikia mwisho ukifika tu awe free agent / player na aende zake huko ' Ng'ambo ' kujaribu bahati yake.
Kuhusu Beki Novatus Lufunga nadhani wengi wenu ni Mashabiki tu wa Mpira na siyo Wadau wa Mpira na hili ndilo limekuwa tatizo kubwa la Wapenda mpira wengi wa Tanzania.
Leo mnasema kuwa Beki Novatus Lufunga ni mbovu lakini hapo hapo mmesahau jinsi alivyoweza kucheza vizuri mechi karibia 10 za mzunguko wa Kwanza na ambazo kwa bahati nzuri Simba SC yetu ilishinda.
Kupwaya kwa Mchezaji kunatokana na mambo mengi ya ndani na hata nje ya Uwanja halafu kumbukeni kukosea kwa Mchezaji yoyote wa mpira ni kitu cha kawaida na ndiyo mnaambiwa kuwa mpira ni mchezo wa makosa.
Leo mnasema Novatus Lufunga anafungisha au anaharibu mbona juzi wakati Beki wetu Method Mwanjale alipofungisha tena ' Kizembe ' mno hadi Mshambuliji John Boko ' Adebayor ' akatulaza mapema wana Simba SC dhidi ya Azam FC hatukulalamika?
Jaribuni kuwa fair na msitawaliwe tu na chuki na mlivyo Wanafiki ni sisi sisi hawa hawa Mashabiki wa Simba kuna wakati tulikuwa ' tukimtusi ' na ' kumdhihaki Juuko Murshid lakini cha ajabu leo tena tumebadilika.
Nijuavyo Mimi ni kwamba Mabeki wote wa Simba SC ni wazuri na hawapishani sana Kiubora hivyo yoyote atakayepangwa atatekeleza majukumu yake halafu tujifunze kuheshimu Benchi la Ufundi hasa Kocha Mkuu kwani huo ndiyo Ueledi wenyewe halafu tujifunze vizuri mpira itusaidie kuwa Wachambuzi wazuri na wenye Tija.
Well said GENTAMYCINE tena hao mnaowasifia (kina Mwanjali na Bokungu) wote Wazee,Jmos wata'face mziki wa kina Msuva.Juuko Murshid haelewani na Benchi la Ufundi hasa Kocha Mkuu Joseph Omoga hivyo hana raha Kikosini na alichokifanya baada ya kuligundua hilo ni kumlazimisha Wakala wake amtafutie Timu ili Mkataba wake wa Simba SC ambao hata hivyo umekaribia kufikia mwisho ukifika tu awe free agent / player na aende zake huko ' Ng'ambo ' kujaribu bahati yake.
Kuhusu Beki Novatus Lufunga nadhani wengi wenu ni Mashabiki tu wa Mpira na siyo Wadau wa Mpira na hili ndilo limekuwa tatizo kubwa la Wapenda mpira wengi wa Tanzania.
Leo mnasema kuwa Beki Novatus Lufunga ni mbovu lakini hapo hapo mmesahau jinsi alivyoweza kucheza vizuri mechi karibia 10 za mzunguko wa Kwanza na ambazo kwa bahati nzuri Simba SC yetu ilishinda.
Kupwaya kwa Mchezaji kunatokana na mambo mengi ya ndani na hata nje ya Uwanja halafu kumbukeni kukosea kwa Mchezaji yoyote wa mpira ni kitu cha kawaida na ndiyo mnaambiwa kuwa mpira ni mchezo wa makosa.
Leo mnasema Novatus Lufunga anafungisha au anaharibu mbona juzi wakati Beki wetu Method Mwanjale alipofungisha tena ' Kizembe ' mno hadi Mshambuliji John Boko ' Adebayor ' akatulaza mapema wana Simba SC dhidi ya Azam FC hatukulalamika?
Jaribuni kuwa fair na msitawaliwe tu na chuki na mlivyo Wanafiki ni sisi sisi hawa hawa Mashabiki wa Simba kuna wakati tulikuwa ' tukimtusi ' na ' kumdhihaki Juuko Murshid lakini cha ajabu leo tena tumebadilika.
Nijuavyo Mimi ni kwamba Mabeki wote wa Simba SC ni wazuri na hawapishani sana Kiubora hivyo yoyote atakayepangwa atatekeleza majukumu yake halafu tujifunze kuheshimu Benchi la Ufundi hasa Kocha Mkuu kwani huo ndiyo Ueledi wenyewe halafu tujifunze vizuri mpira itusaidie kuwa Wachambuzi wazuri na wenye Tija.
Atakuwa sab jamamsiFreeland, mechi zote mbili tulizofungwa mzunguko wa kwanza ni kwa sababu ya lufunga wala siyo mwingine
Pole nilijifunza zamani sana nikiwa mdogo kuwa kucheka sio Mara zote inamanisha kufurahi sasa yaweza kucheka kwako ni kilio karibu tena jumamosi jioni huku tukiwaacha kwa poit NGO vileHiyo Defence yako inanichekesha sana.
Hebu fikiria nini kitatokea:-
Bokungu - Uso kwa uso na CHIRWA.
Shabalala - Uso kwa uso na kiberenge MSUVA.
Mwanjale - Uso kwa uso na super tall NGOMA.
Banda - Uso kwa uso na TAMBWE.
nina chekaaaaaaaaaaa sanaaaaaaaaaa!