Jamani hivi mtu anaweza kuingia majukwaa yote kwa siku?
Au kama si hivyo sinilazima kuna mjukwaa ambayo lazima ayapite sababu anayapenda.
Mfano:
Mjomba MSHANA yeye nahisi anapenda sana Jamii Photos
Mimi mwenywe napenda sana Education Forum, ninasababu zangu.
Je na wewe jukwaa gani linakuvutia hapa JF yaani kila siku lazima ulifungue,_.**