Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 20,778
- 28,722
Robidinyo mnyama mkareee."yaani ukiingia jukwaa hili ni wao wanataka umtaje na kumsifia msanii mmoja tu yaani diamond platinumz"
Nikukumbushe tu huyo robidinyo ni team kiba..
Wewe ndo umevunja record sasa π π πDiamond na Ali Kiba wote ni mediocres tu
Acha unafiki ndugu yangu, onesha hiyo post mkaruka au numbisa akiipongeza wcb kwa lolote au akiinenea mema.Ina maana bado hujaelewa? Numbisa hayuoo serious anawazngua tu na nyie mnatokwa na mapovu na hasira juu na kujaza watu chuki ..
Njoo hapa nikupe external yangu uone nilivyojaza ngoma za wasafi na huwa nazipiga sijui utasemaje
Mkaruka huwa mnapishana mawazo tatizo ana lugha Kali lakinj nyie mnampachika moja kwa moja ni hater
Dogo mbona unanilazimisha niseme unachokitaka?Acha unafiki ndugu yangu, onesha hiyo post mkaruka au numbisa akiipongeza wcb kwa lolote au akiinenea mema.
Halafu hizo ngoma za wasafi utazipiga tu hata kama hupendi.
Maneno yangu yamedhihirika..πππKuna mtu dawa imeingia kwelikweli. Acha kulialia dawa iingie vizuri. Baadae tutaongeza dozi upone huo ugonjwa wako wa chuki kwa watu hata usiowafahamu.
Alafu kama unataka tuanze kukupromote na wewe useme tu hatuna kinyongo tutaifanya kazi hiyo kwa juhudi ileile.
WCB 4 LIFE.
#Kwa roho mbaya zenu itawachoma sana.
Na sisi tukienda nao sawa kama wanavyofanya wanakuita hater sijui INA maana ganiππTatizo elimu, akili zao hazina upeo wa kujadili mambo mengine. Hapo ndio wamemaliza.
Kaka wewe najua ni muelewa na unaelewa kazi yetu ilivyo kwamba hatutakiwi kuegemea upande wowote lakini hapa naitwa hater eti Kakamkuu nimekuelewa sana, tena kwa tasnia yetu ile(Disc jockey) hakuna kuegemea upande wowote.
Asksr usome hapa na utuelewe vizuri .mkuu nimekuelewa sana, tena kwa tasnia yetu ile(Disc jockey) hakuna kuegemea upande wowote.
Simple tu, narudia onesha post mkaruka ,numbisa ,cocastic hata waliyo like ambayo ni positive kwa Diamond na wcb wasafi, kwani huwa zinafutwa??? Ukishindwa basi wewe ni mnafiki kama wanafiki wengine., hivyo tu.
Daah!! shida kweli kweliKaka wewe najua ni muelewa na unaelewa kazi yetu ilivyo kwamba hatutakiwi kuegemea upande wowote lakini hapa naitwa hater eti Kaka
Wewe umeziona ziweke basiSimple tu, narudia onesha post mkaruka ,numbisa ,cocastic hata waliyo like ambayo ni positive kwa Diamond na wcb wasafi, kwani huwa zinafutwa??? Ukishindwa basi wewe ni mnafiki kama wanafiki wengine., hivyo tu.
Bro kuna ujumbe wako pm halafuDaah!! shida kweli kweli
poa ngoja niuchekiBro kuna ujumbe wako pm halafu
Yupo insta kwa sasa anapiga umbeaOyaa robidinyo yuko wapi aniunganishe na group la whatsap la sparactus mnyama mkali
Tuzo napewa lini kiongozi ?Wewe ndo umevunja record sasa π π π
Mbona hata wewe chawa wa MBUZI uko kazini ingekuwa njema sana kama usingeegemea upande mmoja lakini kumbe na wewe chawa wa MBUZI tuOyaaaa chawa niliowasema wamekujaa yaani wamehamia hapa kila mtu wanasema ana chuki na wcb everybody...!
Chawa mko kazini..