Jukwaa la Elimu

Jukwaa la Elimu

mwambene

Member
Joined
Jul 16, 2011
Posts
5
Reaction score
0
jamani ndugu zangu nimeapply mara ya pili lkn nilipoingia ktk profile yangu nimekuta programme zangu nne hakuna badala yake wameniongezea programme mbili ambazo sikuziomba na ni nje ya taaluma yangu sasa nifanyeje? na kibaya zaidi kila programme nimeandikiwa not selected na kwa maana hii sielewi kama ndo nimemwagwa tena.
 
Pole sana,ka vp waface hao tcu direct.
 
sio wewe peke yako mimi pia kuna rafiki yangu amekuta matatizo kama ayo, ebu jaribu kuwa mzumilivu kidogo mpka watakapo-publish hayo majina ya 2nd round officially!
 
Afu kuna 3rd round of application soon.
 
He knows that's why has enquired, is all what we call Rhetorical Questions. Let him find an Alternative if yet doesnt understand what it mean.
 
jamani ndugu zangu nimeapply mara ya pili lkn nilipoingia ktk profile yangu nimekuta programme zangu nne hakuna badala yake wameniongezea programme mbili ambazo sikuziomba na ni nje ya taaluma yangu sasa nifanyeje? na kibaya zaidi kila programme nimeandikiwa not selected na kwa maana hii sielewi kama ndo nimemwagwa tena.

dah hapo kwenye red pameshajieleza ssa sijui anataka tumwambie nni.....................huh
 
Back
Top Bottom