Nashuru,
Kesho jumapili nafanya hili zoezi, ntakuja na feedback
katakata spagghet kama mara 3/4,kisha chemsha mafuta mpaka yaive weka spagghet ndan ya mafuta geuza geuza mpak zibadilike rangi kidogo. weka maj yanayolingana na hzo tambi.weka chumvi/sukari kisha funika mpk maji yaishilie epua na palia km waliJamani kama kuna mjuzi anajua kupika tambi zika haikatiki katiki na kuwa kama wali uliogandamana anipe maujuzi jinsi ya kuziandaa vyema
Nipo bachela mara nyingi weekend napenda kujipikia lakini nakwama,anapika yanagandamana
Ni njia nzuri ya kutayarisha spagghet, lakini nililotaka kusema hasa ni kuwa nilikumiss sana.katakata spagghet kama mara 3/4,kisha chemsha mafuta mpaka yaive weka spagghet ndan ya mafuta geuza geuza mpak zibadilike rangi kidogo. weka maj yanayolingana na hzo tambi.weka chumvi/sukari kisha funika mpk maji yaishilie epua na palia km wali
toa madhara kwanza wewe ili tujue kuliko kuongea visivyokuwepo..:hail:Mamlaka ya chakula na dawa kwa nn isitoe elimu kwa wa tz kuhusu madhara ya tokanayo na matumizi ya oven