Childish!wazee wa kipande hii
hili jukwaa kwa ajil yetu wajanja wa chuga na moshi!
asikwambie mtu wajanja wote na machalarii wote wa kisela tunasomeka kipande hii!
wa da slam wanatuogopa sana machizi wa pande hizi.
karibuni tupeane salam na kufahamiana mazee
mi kitaa zangu huku moshi stend ndo nnapojidai
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya kesho mukuje MILESTONE nyie machaliiniwapige za kutoshawazee wa kipande hii
hili jukwaa kwa ajil yetu wajanja wa chuga na moshi!
asikwambie mtu wajanja wote na machalarii wote wa kisela tunasomeka kipande hii!
wa da slam wanatuogopa sana machizi wa pande hizi.
karibuni tupeane salam na kufahamiana mazee
mi kitaa zangu huku moshi stend ndo nnapojidai
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo pamoja...
Arusha The Half London of Tanzania
Pamoja arifu
Sakina moja....
No matter how evil money is,but being broke is not holly.
mahara[emoji777] [emoji777] [emoji771] mahala[emoji736] [emoji736]Umeandika kibangi bangi humu kuna watu wana heshima zao hao unaowatafuta ni wavuta bangi wenzako kawatafute huko fb hapa sio mahara pake
Sent using Jamii Forums mobile app
uchoko ndo unavyoanza hvyo!unakuja kutafuta heshima huku ht kiswahili hujui kuandika!Umeandika kibangi bangi humu kuna watu wana heshima zao hao unaowatafuta ni wavuta bangi wenzako kawatafute huko fb hapa sio mahara pake
Sent using Jamii Forums mobile app