Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kwa namna yoyote ile kocha huyu mbovu mwenye miaka 52 , aliyewahi kuwa golikipa miaka iliyopita hana nafasi tena ya kufundisha Real Madrid .
Naamini mpaka kufika muda timu imemvumilia vya kutosha sana , kwa hali ilipofikia hakuna tena cha mswalie mtume .
UPDATES :
....................
Tayari Timu ya Real imethibitisha kumtimua Lopetegui na nafasi yake itashikwa na Santiago Solari kwa muda .
Naamini mpaka kufika muda timu imemvumilia vya kutosha sana , kwa hali ilipofikia hakuna tena cha mswalie mtume .
UPDATES :
....................
Tayari Timu ya Real imethibitisha kumtimua Lopetegui na nafasi yake itashikwa na Santiago Solari kwa muda .