TANZIA Julius Ishengoma Ndyanabo afariki dunia

TANZIA Julius Ishengoma Ndyanabo afariki dunia

John Mnyika

JF-Expert Member
Joined
Jun 16, 2006
Posts
713
Reaction score
1,246
Nikiwa njiani kuelekea Tarime, naomba kutoa rambi rambi kwa kifo cha Wakili Ndyanabo.

Namkumbuka marehemu kama mmoja wa wakazi wa jimbo la Ubungo aliyekuwa mstari wa mbele kutetea demokrasia kupitia taaluma yake ya uanasheria.

Marehemu atakumbukwa pia kwa mchango wake kupitia kesi aliyofungua kupinga kiasi cha fedha kinacholazimika kuwekwa kama dhamana katika kufungua kesi cha uchaguzi.

Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema.

JJ
 
Mungu aiweke roho ya marehemu Wakili Ndyanabo mahala pema peponi. Amen
 
Poleni wafiwa.......Mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema peponi
 
Mwenyezi Mungu aiweke roho ya Marehemu Ndyanabo mahali Pema Peponi.Alikuwa ni mpenda haki na mtetezi wa Wanyonge.
 
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi na awape wafiwa subira na faraja katika kipindi hiki kigumu kwao.
 
Mwenyezi Mungu aliyemuumba Wakili Julius Ndyanabo hatimaye amemrudisha kwake.

Bwana alitoa na Bwana ametwaa, Jina la Bwana libarikiwe (Ayubu 1:21). Amen.

Ninamkumbuka alikuwa jirani yangu pale sinza (karibu na Namnani hoteli)

Poleni sana Mke, watoto, pamoja na ndugu wote ambao msiba huu unawahusu.

Raha ya Milele umpe Ee Mungu Muumba, na mwanga wa milele umwangazie, apumzike kwa amani. Amen.
 
naye alikuwa CHADEMA au CCM?

amazing!

watoto 19 wamekufa Tabora hata kuonesha uungwana wa kikwete kutoa pole hapana umekimbilia kumkingia kifua Dr. Dau. Hapa zimeletwa habari za kifo cha Ndyanabo ambaye alikuwa anajulikana; wewe unakuja na kuuliza kama alikuwa CHadema au CCM; na kama alikuwa Chadema ungeuliza kama alikuwa Mchagga au Mzaramo? Na angekuwa CCM ungeuliza kama alikuwa Mkristu au Muislamu? It just makes sense!
 
amazing!

watoto 19 wamekufa Tabora hata kuonesha uungwana wa kikwete kutoa pole hapana umekimbilia kumkingia kifua Dr. Dau. Hapa zimeletwa habari za kifo cha Ndyanabo ambaye alikuwa anajulikana; wewe unakuja na kuuliza kama alikuwa CHadema au CCM; na kama alikuwa Chadema ungeuliza kama alikuwa Mchagga au Mzaramo? Na angekuwa CCM ungeuliza kama alikuwa Mkristu au Muislamu? It just makes sense!

Mzee Mwanakijiji,
Hiyo beef yako kwa GT nadhani mngewasilana kwenye PM zenu kwani tayari umeamua kuendelea kutwist maudhui ya thread hii.
Kwa heshima na taadhima please acheni thread hii kama ilivyo.
 
Mzee Mwanakijiji,
Hiyo beef yako kwa GT nadhani mngewasilana kwenye PM zenu kwani tayari umeamua kuendelea kutwist maudhui ya thread hii.
Kwa heshima na taadhima please acheni thread hii kama ilivyo.

alipouliza kama "CCM au Chadema" haikuwa kutwist maudhui na ulikaa kimya? Hukuona sababu ya kukosoa wakati huo siyo? ila mimi ndiye nimetwist maudhui. Really?
 
RIP Ndyanabo Mwenyezi Mungu awafariji wafiwa.
 
alipouliza kama "CCM au Chadema" haikuwa kutwist maudhui na ulikaa kimya? Hukuona sababu ya kukosoa wakati huo siyo? ila mimi ndiye nimetwist maudhui. Really?

M/kijiji
Nilikwisha iona kuwa imekuwa twisted na sikutaka kuiendeleza, kama ambavyo FMES husema, huiacha hoja ife yenyewe, kwahiyo ile twist ya kwanza ilitakiwa iachwe ife na siyo kuiendeleza. Naomba hii post mkuu iwe ndiyo ya mwisho tusiendelee kutwist mambo zaidi.
 
R.I.P n Mungu aiweke roho ya marehemu mahala pema peponi
 
na nyie mchezao mchezo wa kutwist twist wajimini ingependezaga mka twistia mambo hayo kwenye pms huko...haiependezi kwa kweli kuletewa habari za mtu kututoka na mtu kuuliza kwani yeye alikua ccm au chadema???
 
M/kijiji
Nilikwisha iona kuwa imekuwa twisted na sikutaka kuiendeleza, kama ambavyo FMES husema, huiacha hoja ife yenyewe, kwahiyo ile twist ya kwanza ilitakiwa iachwe ife na siyo kuiendeleza. Naomba hii post mkuu iwe ndiyo ya mwisho tusiendelee kutwist mambo zaidi.

ungeweza kusema kwanza kuhusu suala hilo pale lakini ulikaa kimya. So, inaonesha ulikuwa umechagua upande gani ulipoamua kushambulia la kwangu. So, naone tuache tu yaishe, lakini next time, be fair usiwe na standard za watu wengine wote and then standard za mwanakijiji.
 
Mzee Mwanakijiji,
Hiyo beef yako kwa GT nadhani mngewasilana kwenye PM zenu kwani tayari umeamua kuendelea kutwist maudhui ya thread hii.
Kwa heshima na taadhima please acheni thread hii kama ilivyo.
(RIP Ndyanabo) Poleni wafiwa, halafu pundamilia ungemuuliza GT hata kusema pole kwa wafiwa hawezii? hata kama ni CCM au CHADEMA lakini at least hata kuwapa pole wafiwa.
 
Back
Top Bottom