Julius Malema na EFF wamshauri Raila Odinga kukubali matokeo ya Urais ili kuruhusu mpito mzuri wa mamlaka

Julius Malema na EFF wamshauri Raila Odinga kukubali matokeo ya Urais ili kuruhusu mpito mzuri wa mamlaka

Mbaga Lazaro

Senior Member
Joined
Aug 9, 2020
Posts
132
Reaction score
108
Chama cha upinzani nchini Afrika Kusini, Economic Freedom Fighters (EFF) kinachoongozwa na Julius Malema kimempongeza William Ruto kwa kushinda kinyang'anyiro cha urais.

Malema amemtaka Raila Odinga kukubali matokeo ya urais ili kuruhusu mpito mzuri wa mamlaka.

20220817_215255.jpg
 
Back
Top Bottom