johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Wakili Msomi Julius Mtatiro amesema yeye kama Kampeni Meneja wa Wakili Nkuba amemshauri asiliendeleze suala hilo.
Mtatiro kupitia ukurasa wake wa X amesema Uchaguzi ulikuwa wa Wazi na Kidemokrasia na Wakili msomi Mwabukusi ndiye Mshindi halali
Ahsanteni Sana 😂
Kwako Chawa Choicevariable
Pia soma