Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
Of course i am a proud Nyalu aisee from Nyalu land...and no its not true kuwa wanyalu wanakula Mbwa..nikamsemo tuu hako.
....Uncle J labda alimwomba issue akiwa tingasi!!? Maana nasikia yule dada wa kinyalu nyeti zake amezitwanga kufuri la chuma lililomiminiwa shaba. Kulivunja inabidi uje na welding ya kukatia vyuma vya tractor..... na ukishindwa na moto unakuwakia!.
....Uncle J labda alimwomba issue akiwa tingasi!!? Maana nasikia yule dada wa kinyalu nyeti zake amezitwanga kufuri la chuma lililomiminiwa shaba. Kulivunja inabidi uje na welding ya kukatia vyuma vya tractor..... na ukishindwa na moto unakuwakia!.
That is grossy!...For the record Dada Joyce doesnt take any bullshit she is such a strong woman,wee ueajiriwa kufanya kazi na siyo kutongoza au kuleta lelemama piga mzigo matokeo utayapata mwisho wa mwezi...tatizo mmeshazoea wale wanawake wanaosema yes sir (maharagwe ya Mbeya).Wanawake wa Kinyalu ni very beautiful,strong and very smart.
That is grossy!...For the record Dada Joyce doesnt take any bullshit she is such a strong woman,wee ueajiriwa kufanya kazi na siyo kutongoza au kuleta lelemama piga mzigo matokeo utayapata mwisho wa mwezi...tatizo mmeshazoea wale wanawake wanaosema yes sir (maharagwe ya Mbeya).Wanawake wa Kinyalu ni very beautiful,strong and very smart.
Kamanda, vipi ulimwona huyo Uncle J?Jana nilikuwa naye maeneo ya Mwenge na hajaniambia chochote kuhusu hilo - may be it is a personal issue ndio maana akuligusia! Nita-confirm naye later today na tutaweza jua kipi ni kipi!
Kamanda, vipi ulimwona huyo Uncle J?
What about Ancle Nyaisanga kuacha kazi?duh.. nilikuwa kwenye mood mbaya sana na mafisadi leo.. but ya'll made my day..!! carry on!
Can we go back to the ishu ya Anko J please?
Issue ya Uncle Jay sijui imeishaje..imeingiliwa na utoto utoto tuuuuuu!
The Guy is good on the game, yaani ni mtangazaji mkongwe na mahiri. Tangu RTD kinywaji kilikuwa kinapanda na kazi anachapa. Tangu amejoin Radio One ni kazi na dawa kama kawa, iweje leo ndio awe mlevi. The Truth, Joyce Mhavile ni mtu mgumu kufanya nae kazi. She is Iron Lady who tolarates no nonsense. Lazima kuna mahali wamepishana kiswahili Julius akakasirika.
Mkuu uncle J (Julius Nyaisanga) yupo Ujerumani toka Februari/09 anafanya kazi Deutchwelle sauti ya kiswahili na akina Aboubakar Lyongo na Mkuu wa Wilaya Bw. Michuzi naye yupo mbioni kwenda huko.