Juma Ally Magoma ameuonya Uongozi wa Yanga kuingilia kesi yake dhidi ya bodi ya wadhamini

Juma Ally Magoma ameuonya Uongozi wa Yanga kuingilia kesi yake dhidi ya bodi ya wadhamini

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Juma Ally Magoma ameuonya uongozi wa Yanga kuingilia kesi yake dhidi ya bodi ya wadhamini wa klabu ya Yanga akisema kitendo hicho ni hatari kwani yeye alishitaki bodi ya wadhamini ambayo sio kosa kuishitaki katika mahakama za kawaida lakini uongozi wa klabu una mahakama zake za soka.

Amesema yeye binadamu asipopata haki yake anaweza kupelekea vieleezo vyake katika shirikisho la soka dunia FIFA kuwa klabu hiyo ilimpeleka mahakamani.

Akizungumza na mwanahabari wa ITV @hoseamchopa Mzee Magoma amesema ataendelea kupambani haki yake ambapo siku ya kesho rufaa yao dhidi bodi ya wadhamini wa Yanga inatarajiwa kutajwa Mahakama kuu majira ya saa 3;30 Asubuhi baada ya kesi ya mapitio kumalizika katika mahakama ya Kisutu.

Soma Pia:
Juma Ally Magoma amesema hawezi kuwalipa Yanga Gharama za kesi yao ambao walitaja karibu milioni 70.

Chanzo: itvtz

Kaeni nae chini mumpoze kwa Hela kwani hatanii na akienda kweli FIFA itaathiri TFF, Yanga SC na hata Ligi Kuu ya NBC.
 
Juma Ally Magoma ameuonya uongozi wa Yanga kuingilia kesi yake dhidi ya bodi ya wadhamini wa klabu ya Yanga akisema kitendo hicho ni hatari kwani yeye alishitaki bodi ya wadhamini ambayo sio kosa kuishitaki katika mahakama za kawaida lakini uongozi wa klabu una mahakama zake za soka.

Amesema yeye binadamu asipopata haki yake anaweza kupelekea vieleezo vyake katika shirikisho la soka dunia FIFA kuwa klabu hiyo ilimpeleka mahakamani.

Akizungumza na mwanahabari wetu @hoseamchopa Mzee Magoma amesema ataendelea kupambani haki yake ambapo siku ya kesho rufaa yao dhidi bodi ya wadhamini wa Yanga inatarajiwa kutajwa Mahakama kuu majira ya saa 3;30 Asubuhi baada ya kesi ya mapitio kumalizika katika mahakama ya Kisutu.

Juma Ally Magoma amesema hawezi kuwalipa Yanga Gharama za kesi yao ambao walitaja karibu milioni 70.

Chanzo: itvtz

Kaeni nae chini mumpoze kwa Hela kwani hatanii na akienda kweli FIFA itaathiri TFF, Yanga SC na hata Ligi Kuu ya NBC.
Yanga Haina muda wa kupoteza kwa uyo mjinga mjinga, kesi za mpira Zina njia zake Kama ameenda mahakamani kwani fifa Iko mahakamani? Awezi kwenda fifa sababu anajua atapigwa chini asubuhi tu juu ya Icho anachokilalamikia kwakuwa yanga walifata taratibu zote zinazotakiwa na mamlaka za soka na serikali, ivyo basi ata uko mahakamani anapoteza muda zaidi yeye mwenyewe ndio atawekwa ndani kwa kosa la kughushi saini za watu linamsubilia, dawa ya wazee Kama awa sio kuwachekea ni kuwaadabisha wasirudie Tena ujinga ujinga wao na yanga uyu watamalizana nae kimya kimya kikomandoo mpaka akili zimkae sawa
 
Kwahiyo anataka kusema waliopo kwenye bodi ya wadhamini sio viongozi?
Kama amewashtaki bodi ya wadhamini maanake hadi raisi wa Yanga anahusika kwasababu wale waliopo kwenye bodi ya wadhamini hawakujiteua bali wameteuliwa na raisi. Kumbe Magoma akili hamna kabisa huyu
 
Juma Ally Magoma ameuonya uongozi wa Yanga kuingilia kesi yake dhidi ya bodi ya wadhamini wa klabu ya Yanga akisema kitendo hicho ni hatari kwani yeye alishitaki bodi ya wadhamini ambayo sio kosa kuishitaki katika mahakama za kawaida lakini uongozi wa klabu una mahakama zake za soka.

Amesema yeye binadamu asipopata haki yake anaweza kupelekea vieleezo vyake katika shirikisho la soka dunia FIFA kuwa klabu hiyo ilimpeleka mahakamani.

Akizungumza na mwanahabari wa ITV @hoseamchopa Mzee Magoma amesema ataendelea kupambani haki yake ambapo siku ya kesho rufaa yao dhidi bodi ya wadhamini wa Yanga inatarajiwa kutajwa Mahakama kuu majira ya saa 3;30 Asubuhi baada ya kesi ya mapitio kumalizika katika mahakama ya Kisutu.

Soma Pia:
Juma Ally Magoma amesema hawezi kuwalipa Yanga Gharama za kesi yao ambao walitaja karibu milioni 70.

Chanzo: itvtz

Kaeni nae chini mumpoze kwa Hela kwani hatanii na akienda kweli FIFA itaathiri TFF, Yanga SC na hata Ligi Kuu ya NBC.
Sasa FIFA ndio watafanyaje? Sijawahi kusikia FIFA wakitoa maamuzi kuhusianana muundo wa katiba wa club husika,huyu mzee tahira nilikuwa na mwonea huruma acha wamnyooshe.
 
Juma Ally Magoma ameuonya uongozi wa Yanga kuingilia kesi yake dhidi ya bodi ya wadhamini wa klabu ya Yanga akisema kitendo hicho ni hatari kwani yeye alishitaki bodi ya wadhamini ambayo sio kosa kuishitaki katika mahakama za kawaida lakini uongozi wa klabu una mahakama zake za soka.

Amesema yeye binadamu asipopata haki yake anaweza kupelekea vieleezo vyake katika shirikisho la soka dunia FIFA kuwa klabu hiyo ilimpeleka mahakamani.

Akizungumza na mwanahabari wa ITV @hoseamchopa Mzee Magoma amesema ataendelea kupambani haki yake ambapo siku ya kesho rufaa yao dhidi bodi ya wadhamini wa Yanga inatarajiwa kutajwa Mahakama kuu majira ya saa 3;30 Asubuhi baada ya kesi ya mapitio kumalizika katika mahakama ya Kisutu.

Soma Pia:
Juma Ally Magoma amesema hawezi kuwalipa Yanga Gharama za kesi yao ambao walitaja karibu milioni 70.

Chanzo: itvtz

Kaeni nae chini mumpoze kwa Hela kwani hatanii na akienda kweli FIFA itaathiri TFF, Yanga SC na hata Ligi Kuu ya NBC.
FIFA hawa husiki kabisa na hiyo kesi yake, ndio maana hata TFF hawashughuliki na hiyosaba ni yakikatiba ipo ndani ya club husika,kwani club ndio huamua katiba inakuwaje.

Halafu huwezi kwenda FIFA kabla hujaanzia chombo chake cha chini ambacho ni TFF.

Mzee fala tu inawezekana hata anacho kipigania hakijui.Wacha wamnyooshe.
 
Kwahiyo anataka kusema waliopo kwenye bodi ya wadhamini sio viongozi?
Kama amewashtaki bodi ya wadhamini maanake hadi raisi wa Yanga anahusika kwasababu wale waliopo kwenye bodi ya wadhamini hawakujiteua bali wameteuliwa na raisi. Kumbe Magoma akili hamna kabisa huyu
Unamuuliza nani sasa hapa?
 
Juma Ally Magoma ameuonya uongozi wa Yanga kuingilia kesi yake dhidi ya bodi ya wadhamini wa klabu ya Yanga akisema kitendo hicho ni hatari kwani yeye alishitaki bodi ya wadhamini ambayo sio kosa kuishitaki katika mahakama za kawaida lakini uongozi wa klabu una mahakama zake za soka.

Amesema yeye binadamu asipopata haki yake anaweza kupelekea vieleezo vyake katika shirikisho la soka dunia FIFA kuwa klabu hiyo ilimpeleka mahakamani.

Akizungumza na mwanahabari wa ITV @hoseamchopa Mzee Magoma amesema ataendelea kupambani haki yake ambapo siku ya kesho rufaa yao dhidi bodi ya wadhamini wa Yanga inatarajiwa kutajwa Mahakama kuu majira ya saa 3;30 Asubuhi baada ya kesi ya mapitio kumalizika katika mahakama ya Kisutu.

Soma Pia:
Juma Ally Magoma amesema hawezi kuwalipa Yanga Gharama za kesi yao ambao walitaja karibu milioni 70.

Chanzo: itvtz

Kaeni nae chini mumpoze kwa Hela kwani hatanii na akienda kweli FIFA itaathiri TFF, Yanga SC na hata Ligi Kuu ya NBC.
Babu ana njaa hatari.
 
FIFA sio lam kwenda sokoni. Kupeleka kesi FIFA lazima iwe imepitia shirikisho la mpira Tanzania (TFF)
 
Juma Ally Magoma ameuonya uongozi wa Yanga kuingilia kesi yake dhidi ya bodi ya wadhamini wa klabu ya Yanga akisema kitendo hicho ni hatari kwani yeye alishitaki bodi ya wadhamini ambayo sio kosa kuishitaki katika mahakama za kawaida lakini uongozi wa klabu una mahakama zake za soka.

Amesema yeye binadamu asipopata haki yake anaweza kupelekea vieleezo vyake katika shirikisho la soka dunia FIFA kuwa klabu hiyo ilimpeleka mahakamani.

Akizungumza na mwanahabari wa ITV @hoseamchopa Mzee Magoma amesema ataendelea kupambani haki yake ambapo siku ya kesho rufaa yao dhidi bodi ya wadhamini wa Yanga inatarajiwa kutajwa Mahakama kuu majira ya saa 3;30 Asubuhi baada ya kesi ya mapitio kumalizika katika mahakama ya Kisutu.

Soma Pia:
Juma Ally Magoma amesema hawezi kuwalipa Yanga Gharama za kesi yao ambao walitaja karibu milioni 70.

Chanzo: itvtz

Kaeni nae chini mumpoze kwa Hela kwani hatanii na akienda kweli FIFA itaathiri TFF, Yanga SC na hata Ligi Kuu ya NBC.
Wewe na unazi wako wa Simba, huwezi andika kitu tangible kuhusu yanga.
 
Juma Ally Magoma ameuonya uongozi wa Yanga kuingilia kesi yake dhidi ya bodi ya wadhamini wa klabu ya Yanga akisema kitendo hicho ni hatari kwani yeye alishitaki bodi ya wadhamini ambayo sio kosa kuishitaki katika mahakama za kawaida lakini uongozi wa klabu una mahakama zake za soka.

Amesema yeye binadamu asipopata haki yake anaweza kupelekea vieleezo vyake katika shirikisho la soka dunia FIFA kuwa klabu hiyo ilimpeleka mahakamani.

Akizungumza na mwanahabari wa ITV @hoseamchopa Mzee Magoma amesema ataendelea kupambani haki yake ambapo siku ya kesho rufaa yao dhidi bodi ya wadhamini wa Yanga inatarajiwa kutajwa Mahakama kuu majira ya saa 3;30 Asubuhi baada ya kesi ya mapitio kumalizika katika mahakama ya Kisutu.

Soma Pia:
Juma Ally Magoma amesema hawezi kuwalipa Yanga Gharama za kesi yao ambao walitaja karibu milioni 70.

Chanzo: itvtz

Kaeni nae chini mumpoze kwa Hela kwani hatanii na akienda kweli FIFA itaathiri TFF, Yanga SC na hata Ligi Kuu ya NBC.
FIFA hawahusiki na kesi za mambo ya nje ya uwanja na mambo ya jinai.

Mambo ya wanachama, mikataba ya timu na muundo wa uongozi FIFA hahusiki.

Labda ingekuwa mambo ya Wachezaji na makocha.

Tatizo la Magoma ana ubushi loya wa kizamani ambao haumsaidii kitu
 
Back
Top Bottom