LGE2024 Juma Aweso: Wananchi jitokezeni kwa wingi kupiga kura tarehe 27 Nov 2024

LGE2024 Juma Aweso: Wananchi jitokezeni kwa wingi kupiga kura tarehe 27 Nov 2024

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Pfizer

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2021
Posts
590
Reaction score
807
Mbunge wa Jimbo la Pangani na Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso ameendelea na kampeini jimboni Pangani katika kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Aweso akiambatana na wajumbe wa kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Pangani ameendelea kuwanadi wagombea wa CCM kata kwa kata na kijiji kwa kijiji huku akiwahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 27 Nov 2024.

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024


IMG-20241125-WA0048.jpg
IMG-20241125-WA0049.jpg
IMG-20241125-WA0050.jpg
IMG-20241125-WA0051.jpg
IMG-20241125-WA0052.jpg
IMG-20241125-WA0053.jpg
IMG-20241125-WA0054.jpg
 
Hakuna Nuru Ndani Ya CCM Hata Nguo Ni Mzigo Walizovaa
 
Mbunge wa Jimbo la Pangani na Waziri wa Maji Mhe Jumaa Aweso ameendelea na kampeini jimboni Pangani katika kuelekea uchaguzi wa Serikali za Mitaa.

Aweso akiambatana na wajumbe wa kamati ya Siasa ya CCM Wilaya ya Pangani ameendelea kuwanadi wagombea wa CCM kata kwa kata na kijiji kwa kijiji huku akiwahimiza wananchi kujitokeza kwa wingi kupiga kura tarehe 27 Nov 2024.

Soma Pia: Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024


kwa pamoja na kwa umoja, tunakwenda kushinda kwa kishindo nov.27

Kidumu Chama Cha Mapinduzi :ClapHD:
 
Back
Top Bottom