Johari msabila
Member
- Nov 5, 2019
- 11
- 10
Vanessa aweka wazi na sio Siri tena kuhusu uhusiano wake mpya na jaji mwenzake Rotimi aliyekuwa nae kwenye mashindano ya East Africa got talent kwa kusema
Ameamua kuweka wazi japo Ni Siri lakini Juma Jux hakushitushwa kwani anasema walibreak up tangu Disemba 2018 na wala hakushangazwa bali anasema yeye anaonesha mapenzi kwa mpenzi wake wa sasa kwani inapasa ampende....
Juma Jux amefurahishwa ya kuwa Vanesa amepata mwenza wake huyo mpya.
Ameamua kuweka wazi japo Ni Siri lakini Juma Jux hakushitushwa kwani anasema walibreak up tangu Disemba 2018 na wala hakushangazwa bali anasema yeye anaonesha mapenzi kwa mpenzi wake wa sasa kwani inapasa ampende....
Juma Jux amefurahishwa ya kuwa Vanesa amepata mwenza wake huyo mpya.