Johari msabila
Member
- Nov 5, 2019
- 11
- 10
Anatulisha matango pori huyuNimefuatilia East African Got Talent mwanzo mwisho sijawahi kumwona huyo Rotimi kama Judge,,Judges walikua ni Jeff Koinange,Makeda,Gaitano na Vee mwenyewe,na Kansiime kama Host.
Mtoa mada anatulisha matango pori tuNimefuatilia East African Got Talent mwanzo mwisho sijawahi kumwona huyo Rotimi kama Judge,,Judges walikua ni Jeff Koinange,Makeda,Gaitano na Vee mwenyewe,na Kansiime kama Host.
Anayumba kinyama,,Hizi ndo effects za Citizen Journalism,kwamba kila raia analeta tu habari pasipo kuwa na information za kutosha.Mtoa mada anatulisha matango pori tu
Anaona wote tumetoka koromije.Hiyo EAGT aliyokuja Rotimi ni ya wapi mkuu mbona unawaokota watu hapa.
PoleNimefuatilia East African Got Talent mwanzo mwisho sijawahi kumwona huyo Rotimi kama Judge,,Judges walikua ni Jeff Koinange,Makeda,Gaitano na Vee mwenyewe,na Kansiime kama Host.