Nyanda Banka
JF-Expert Member
- Mar 14, 2023
- 304
- 1,054
JUMA KASEJA: KILA KITU DIARRA ANACHOFANYA MIMI NILISHAKIFANYA ENZI ZANGU.
Nyota wa zamani wa klabu ya Simba Juma Kaseja ameweka wazi kuwa ubora anaouonyesha nyota wa klabu ya Yanga Djigui Diarra, yeye aliwahi kuuonesha mapema.
"Diarra ni golikipa mzuri sana.Vitu ambavyo anafanya ndani ya klabu ya Yanga ni vikubwa sana lakini hata mimi enzi zangu nilikuwa navifanya."
"Mimi kabla ya kuwa golikipa nilikuwa mchezaji wa ndani kwa hiyo kuwa nina uwezo mzuri mguuni kwa sababu kabla ya kuwa golikipa nilikuwa mchezaji wa ndani
- Juma K Juma, nyota wa zamani wa Yanga, Simba na timu ya Taifa ya Tanzania.
Unakubaliana na Juma kaseja?
Nyota wa zamani wa klabu ya Simba Juma Kaseja ameweka wazi kuwa ubora anaouonyesha nyota wa klabu ya Yanga Djigui Diarra, yeye aliwahi kuuonesha mapema.
"Diarra ni golikipa mzuri sana.Vitu ambavyo anafanya ndani ya klabu ya Yanga ni vikubwa sana lakini hata mimi enzi zangu nilikuwa navifanya."
"Mimi kabla ya kuwa golikipa nilikuwa mchezaji wa ndani kwa hiyo kuwa nina uwezo mzuri mguuni kwa sababu kabla ya kuwa golikipa nilikuwa mchezaji wa ndani
- Juma K Juma, nyota wa zamani wa Yanga, Simba na timu ya Taifa ya Tanzania.
Unakubaliana na Juma kaseja?