Mr Chogo tuliza mshono huko bara. Zanzibar Ina wenyewe
Je umejipanga vipi kuhakikisha kile kilichofanyika 2015 hakijirudii tena?Utajiri wa Zanzibar unufaishe Wazanzibari kwanza
Je umejipanga vipi kuhakikisha kile kilichofanyika 2015 hakijirudii tena?
View attachment 2658186
Picha | 2015: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Jecha Salim Jecha ametangaza kufutilia mbali matokeo ya uchaguzi visiwani humo akisema uchaguzi huo ulijaa kasoro nyingi. - kwahisani ya BBC
Mimi nitakua Mgombea tu sheikh hayo waulize tumeJe umejipanga vipi kuhakikisha kile kilichofanyika 2015 hakijirudii tena?
View attachment 2658186
Picha | 2015: Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Jecha Salim Jecha ametangaza kufutilia mbali matokeo ya uchaguzi visiwani humo akisema uchaguzi huo ulijaa kasoro nyingi. - kwahisani ya BBC
Ushan'fahamu
Naam SheikhSiku zinasogea ndugu zangu