Juma Mgunda jiandae kupoteza kibarua chako endapo utaendelea kupanga kikosi kwa mujibu wa Matola

Juma Mgunda jiandae kupoteza kibarua chako endapo utaendelea kupanga kikosi kwa mujibu wa Matola

Tipstipstor

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2021
Posts
1,528
Reaction score
3,352
Ahlan

Uzi unaenda moja kwa moja kwa kocha Mgunda,nafuatilia mtanange wa simba dhidi ya prisons kupitia azam max nikiwa jijini Ljublijana hapa nchini slovenia.Nikiangalia kikosi cha simba naona wazi kuwa kocha Mgunda anapangiwa kikosi na msaidizi wake Matola. Hivyo ajiandae kabisa kutimuliwa kama walivyoondoka watangulizi wake.Kamati ya usajili ya Simba imesajili wachezaji wa kimataifa wazuri tu ila Matola amekuwa hawapendi na badala yale anataka wacheze washikaji zake kina mkude,mzamiru,bocco,nyoni n.k Hivi kwa viwango vya dejan,okwa ,banda na okrah ni wa kukaa benchi kweli?
 
Ahlan

Uzi unaenda moja kwa moja kwa kocha Mgunda,nafuatilia mtanange wa simba dhidi ya prisons kupitia azam max nikiwa jijini Ljublijana hapa nchini slovenia.Nikiangalia kikosi cha simba naona wazi kuwa kocha Mgunda anapangiwa kikosi na msaidizi wake Matola. Hivyo ajiandae kabisa kutimuliwa kama walivyoondoka watangulizi wake.Kamati ya usajili ya Simba imesajili wachezaji wa kimataifa wazuri tu ila Matola amekuwa hawapendi na badala yale anataka wacheze washikaji zake kina mkude,mzamiru,bocco,nyoni n.k Hivi kwa viwango vya dejan,okwa ,banda na okrah ni wa kukaa benchi kweli?
Kwa ukweli matola ni sumu simba
 
Phiri ana bahati ya kupata namba kwa kuwa tu alifunga kwenye mechi za awali laasivyo angekuwa benchi akimtazama bocco akicheza. F*ck matola
 
Phiri ana bahati ya kupata namba kwa kuwa tu alifunga kwenye mechi za awali laasivyo angekuwa benchi akimtazama bocco akicheza. F*ck matola
Sasa matusi ya nini mkuu?

Embu shusha pumzi bhaana, relax. Hii dawa huwa inaingia taratibu.

Kuwa mtulivu tafadhali.
 
Ahlan

Uzi unaenda moja kwa moja kwa kocha Mgunda,nafuatilia mtanange wa simba dhidi ya prisons kupitia azam max nikiwa jijini Ljublijana hapa nchini slovenia.Nikiangalia kikosi cha simba naona wazi kuwa kocha Mgunda anapangiwa kikosi na msaidizi wake Matola. Hivyo ajiandae kabisa kutimuliwa kama walivyoondoka watangulizi wake.Kamati ya usajili ya Simba imesajili wachezaji wa kimataifa wazuri tu ila Matola amekuwa hawapendi na badala yale anataka wacheze washikaji zake kina mkude,mzamiru,bocco,nyoni n.k Hivi kwa viwango vya dejan,okwa ,banda na okrah ni wa kukaa benchi kweli?
Mm Ni uto ila kunbuka kuwa mnazo mechi za kimataifa na sas HV Hakuna kulala Ni game leo baada ya maasa 72 unakutana na mechi so usimlaumu sna mgunda acha ale help za muhindi kwa Muda
 
Hii gemu mzamiru hatakiwa hata kukaa benchi
Matola anaihujumu Simba mpaka wajue tumepigwa
Matola anaonekana ana uswahiba na Manara na huenda ni mnufaika wa payroll ya gsm.
Wana mpango wa kuchukua ubingwa wanavyotaka.
Mechi zinazofuata lazima tupoteze iwapo kocha ni Matola
 
Back
Top Bottom