Pesanyingi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2023
- 1,157
- 1,983
Kwako Juma Mgunda. We ni kocha mzawa na umejitengenezea heshima yako katika soka la Tanzania kwa siku za karibuni.
Ushauri wangu kwako usikubali kuwa kocha wa deiwaka kama Simba wanavyokutumia Sasa. Uwezo wa kuifundisha Simba unao kwani tayari ulishaonesha hilo, ila timu hawataki kukupa hadi mambo yao yakishabuma we ndiyo wanakuona unawafaa.
Jitenge na club ya Simba kwakuangalia mustakabali wako. Siku Simba inapopita katika changamoto kama Sasa na kupoteza uelekeo na wewe inaweza kuchafua ubora wako hata timu zenye nia ya kweli kukupa kazi zikaona umeshuka au hauna kiwango.
Ni bora ukafundishe hata Kibondo FC kuliko kuwa kiraka hapo clabuni Simba.
Ushauri wangu kwako usikubali kuwa kocha wa deiwaka kama Simba wanavyokutumia Sasa. Uwezo wa kuifundisha Simba unao kwani tayari ulishaonesha hilo, ila timu hawataki kukupa hadi mambo yao yakishabuma we ndiyo wanakuona unawafaa.
Jitenge na club ya Simba kwakuangalia mustakabali wako. Siku Simba inapopita katika changamoto kama Sasa na kupoteza uelekeo na wewe inaweza kuchafua ubora wako hata timu zenye nia ya kweli kukupa kazi zikaona umeshuka au hauna kiwango.
Ni bora ukafundishe hata Kibondo FC kuliko kuwa kiraka hapo clabuni Simba.