Igweeeeeeeee,
Wadau tupeane machimbo yenye watoto classic tukale bata siku ya christmas hapa jijini dsm na pia ndugu yenu na dozi za vimelea vya vidonda vya tumbo nilipima juzi kati.
Kinywaji gani ninywe mbadala wa hz zenye alcohol ili niweze chukua kirahisi bcoz naamini.ukiwa unaila beer mtoto ni kuvuta tu sasa wakikuona ww wa soda watasema nguvu yako ya soda.
Nawasilisha naombeni code wadau.