Ze Heby JF-Expert Member Joined Jun 22, 2011 Posts 5,636 Reaction score 6,178 Mar 22, 2015 #21 Nature, wanaTemeke sio wapumbavu kiasi hicho They have eyes,wanaweza kumuona mtu ambae really ana uchungu na umaskini wao,na sio mtu anaetafuta nafuu ya maisha baada ya muziki wake kufa Usirudie tena
Nature, wanaTemeke sio wapumbavu kiasi hicho They have eyes,wanaweza kumuona mtu ambae really ana uchungu na umaskini wao,na sio mtu anaetafuta nafuu ya maisha baada ya muziki wake kufa Usirudie tena
auxiliomkina Member Joined Feb 28, 2015 Posts 60 Reaction score 6 Mar 22, 2015 #22 Tena ni matusi nowadays ni fashion kila mmoja anatangaza nia kwa kua mjengoni kuna fursa nyingi za kupiga hela
Tena ni matusi nowadays ni fashion kila mmoja anatangaza nia kwa kua mjengoni kuna fursa nyingi za kupiga hela
Stanley Mitchell JF-Expert Member Joined Jan 2, 2014 Posts 4,574 Reaction score 4,070 Mar 22, 2015 #23 kende said: hiyo ilikuwa zaman, kwa hiki kizaz cha digitale wala habambi, mbona katoa nyimbo nyingi tu zimefeli Click to expand... tumia kichwa kufikiri na sio matako wala puru....
kende said: hiyo ilikuwa zaman, kwa hiki kizaz cha digitale wala habambi, mbona katoa nyimbo nyingi tu zimefeli Click to expand... tumia kichwa kufikiri na sio matako wala puru....
L long walk Member Joined Mar 15, 2015 Posts 19 Reaction score 3 Mar 23, 2015 #24 Linex alisema atagombea ubunge 2020 Kigoma kupitia ACT
VOICE OF MTWARA JF-Expert Member Joined Dec 20, 2012 Posts 2,987 Reaction score 1,954 Mar 23, 2015 #25 bora ya nature kuliko lusinde
G guasa JF-Expert Member Joined Dec 30, 2013 Posts 1,933 Reaction score 662 Mar 23, 2015 #26 Mheshimiwa juma kassim kiroboto msitu wa vina nature. Swali la nyongeza!