Juma Nature: Nina mpango wa kuingia kwenye siasa

Nimemsikia hapa clouds sasa hvi. Kijana kaishiwa huyu
 
Duh! Kama kweli Juma Nature ataingia kwenye siasa basi siasa ndio itakuwa imeingiliwa na Juma Nature!!!Na huo utakuwa ni mwendelezo wa kupatwa kwa siasa za Tanzania.
 
Ahamie chadema watasema ni chaguo la mungu
 
Akianza siasa asimsahau yule rafiki yake Kama sijakosea jina anaitwa KR mura muziki mnene.
 
atastaafu muziki? Au baada ya mziki kumshinda!
 
Ccm huyo,akagombee Dodoma au Singida
 
Duh! Kama kweli Juma Nature ataingia kwenye siasa basi siasa ndio itakuwa imeingiliwa na Juma Nature!!!Na huo utakuwa ni mwendelezo wa kupatwa kwa siasa za Tanzania.
Sasa Nature ana tofauti gani na kina Lema? kuanzia Elimu mpka uelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…