Mhmhmhmhmmmmhhhhmmhhhm kweli???
Ana fanya biashara ya bajaji sasa hivi
Samahani!! UmeolewA???Wee tangu lini mwanaume ana pozi hizo??? ???
Wee tangu lini mwanaume ana pozi hizo??? ???
Haa mkuu huyu KE, he he he unataka nini tena.Sorry mkuu, we ni me au ke?
Na hiyo Avatar ni ya mtoto wa kiume au wa kike?
Kama ni ya wa-kiume tafadhali itoe tu.
Samahani lakini.
Sureyupo mkuu na jumatatu ijayo anasainishwa lebo ya WCB
Haa mkuu huyu KE, he he he unataka nini tena.