KakaJambazi JF-Expert Member Joined Jun 5, 2009 Posts 18,804 Reaction score 12,227 Nov 1, 2010 #1 Naombeni matokeo.
K Kikwebo JF-Expert Member Joined Aug 25, 2006 Posts 407 Reaction score 207 Nov 1, 2010 #2 KakaJambazi said: Naombeni matokeo. Click to expand... Juma amechukua jimbo. Infact...CCM imechukua kata zote za jimbo hilio na imeonogoza kwa kishindo kuraza Uraisi pia. Ila kule kwa Zabein Mkhita nadhani ni Kondoa Kaskazini....wapinzania wamepeta kata 8 kati ya 30! ila mama amechukua jimbo.
KakaJambazi said: Naombeni matokeo. Click to expand... Juma amechukua jimbo. Infact...CCM imechukua kata zote za jimbo hilio na imeonogoza kwa kishindo kuraza Uraisi pia. Ila kule kwa Zabein Mkhita nadhani ni Kondoa Kaskazini....wapinzania wamepeta kata 8 kati ya 30! ila mama amechukua jimbo.
Jile79 JF-Expert Member Joined May 28, 2009 Posts 17,668 Reaction score 13,263 Nov 1, 2010 #3 Ok tunasubiri habari kamili!