Chief-Mkwawa
Platinum Member
- May 25, 2011
- 31,559
- 42,179
Unakumbuka habari ya Haruna Moshi Boban akiweka kiroba kwenye chupa ya maji? Leo hii tena ni zamu ya Juma Nyoso. Watanzania hatuishi vituko.
Leo napita pita kwenye jarida la goal.com naona wameandika wachezaji 10 watukutu kucheza mpira na jembe letu Juma Nyoso ameshika nafasi ya 6 kwa utukutu duniani,
Sababu ya kuwa namba 6 wameiandika, alikuwa akiwaingiza wachezaji wenzie vidole huko nyuma kwenye makalio, na wameandika amewahi wafanyia wachezaji zaidi ya watatu.
List kamili hii hapa
10. Luis suarez
9. Marouane fellaini
8. Volkan demirel
7. Diego costa
6. Juma nyoso
5. Granit xhaka
4. Felipe melo
3. Yannick cahuzac
2. Pepe
1. Nigel de jong
Soma zaidi hapa
Fellaini, Pepe and football's top 10 most controversial players | Goal.com
Leo napita pita kwenye jarida la goal.com naona wameandika wachezaji 10 watukutu kucheza mpira na jembe letu Juma Nyoso ameshika nafasi ya 6 kwa utukutu duniani,
Sababu ya kuwa namba 6 wameiandika, alikuwa akiwaingiza wachezaji wenzie vidole huko nyuma kwenye makalio, na wameandika amewahi wafanyia wachezaji zaidi ya watatu.
List kamili hii hapa
10. Luis suarez
9. Marouane fellaini
8. Volkan demirel
7. Diego costa
6. Juma nyoso
5. Granit xhaka
4. Felipe melo
3. Yannick cahuzac
2. Pepe
1. Nigel de jong
Soma zaidi hapa
Fellaini, Pepe and football's top 10 most controversial players | Goal.com