Nyosso bado anacheza mpira mpk leo?Kwa nyakati tofauti Mbunge wa Kahama Mh Kishimba na Mbunge wa Geita vijijini Mh Joseph Msukuma waliwahi kuomba bangi ihalalishwe kama zào la Biashara ikilimwa kama dawa.
Lakini kitendo ulichofanya Leo Juma Nyoso kwenye Mechi ambayo timu yako ilishaichukua na kuelekea kushinda, ghafla katika mazingira yasiyohatarisha goli lako unahamisha mpira vizuri na ghafla unamkanyaga mgongoni Kwa makusudi Kipre Junior. Hii bangi uliyotunia Leo ungetuelekeza ulikoinunua ili ndiyo ipigwe marufuku nyingine ihalalishwe.
Kwa nyakati tofauti Mbunge wa Kahama Mh Kishimba na Mbunge wa Geita vijijini Mh Joseph Msukuma waliwahi kuomba bangi ihalalishwe kama zào la Biashara ikilimwa kama dawa.
Lakini kitendo ulichofanya Leo Juma Nyoso kwenye Mechi ambayo timu yako ilishaichukua na kuelekea kushinda, ghafla katika mazingira yasiyohatarisha goli lako unahamisha mpira vizuri na ghafla unamkanyaga mgongoni Kwa makusudi Kipre Junior. Hii bangi uliyotunia Leo ungetuelekeza ulikoinunua ili ndiyo ipigwe marufuku nyingine ihalalishwe.
Hii bangi uliyotunia Leo ungetuelekeza ulikoinunua ili ndiyo ipigwe marufuku nyingine ihalalishwe.[emoji23]Kwa nyakati tofauti Mbunge wa Kahama Mh Kishimba na Mbunge wa Geita vijijini Mh Joseph Msukuma waliwahi kuomba bangi ihalalishwe kama zào la Biashara ikilimwa kama dawa.
Lakini kitendo ulichofanya Leo Juma Nyoso kwenye Mechi ambayo timu yako ilishaichukua na kuelekea kushinda, ghafla katika mazingira yasiyohatarisha goli lako unahamisha mpira vizuri na ghafla unamkanyaga mgongoni Kwa makusudi Kipre Junior. Hii bangi uliyotunia Leo ungetuelekeza ulikoinunua ili ndiyo ipigwe marufuku nyingine ihalalishwe.
Unataka kusemaje?Utopolo wameacha kutoa bahasha?Hilo tukio lingefanyika katika mechi ya Ihefu vs Yanga ungesikia bahasha ishatembea afanye faulo ya makusudi.
Ndio na anamiaka 29 tuuh [emoji23][emoji23][emoji23]Nyosso bado anacheza mpira mpk leo?
Hii michezo kwa hapa nchini kuna wachambuzi wa mchongo wanaita "kugongana" ili wahalalishe maamuzi mabovu ya waamuzi waliohongwa.Kwa nyakati tofauti Mbunge wa Kahama Mh Kishimba na Mbunge wa Geita vijijini Mh Joseph Msukuma waliwahi kuomba bangi ihalalishwe kama zào la Biashara ikilimwa kama dawa.
Lakini kitendo ulichofanya Leo Juma Nyoso kwenye Mechi ambayo timu yako ilishaichukua na kuelekea kushinda, ghafla katika mazingira yasiyohatarisha goli lako unahamisha mpira vizuri na ghafla unamkanyaga mgongoni Kwa makusudi Kipre Junior. Hii bangi uliyotunia Leo ungetuelekeza ulikoinunua ili ndiyo ipigwe marufuku nyingine ihalalishwe.
Bado kinda yule.Nyosso bado anacheza mpira mpk leo?
Mara ya mwisho bahasha walipewa simba kwenye ile mechi ya ngao ya jamiiUnataka kusemaje?Utopolo wameacha kutoa bahasha?
Ganja herbs ipo kwa watu special sio kwa kila mtu!Aisee usirudie tena kuhusisha bangi na vitu vya kijianga.
Mashabiki wa Makolo Wana mentality za kikeHilo tukio lingefanyika katika mechi ya Ihefu vs Yanga ungesikia bahasha ishatembea afanye faulo ya makusudi.