SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Itakuwa ya Njombe ile mwendazake aliyomshauri Profesa Mbarawa avute ili awe mkali.Kwa nyakati tofauti Mbunge wa Kahama Mh Kishimba na Mbunge wa Geita vijijini Mh Joseph Msukuma waliwahi kuomba bangi ihalalishwe kama zào la Biashara ikilimwa kama dawa.
Lakini kitendo ulichofanya Leo Juma Nyoso kwenye Mechi ambayo timu yako ilishaichukua na kuelekea kushinda, ghafla katika mazingira yasiyohatarisha goli lako unahamisha mpira vizuri na ghafla unamkanyaga mgongoni Kwa makusudi Kipre Junior. Hii bangi uliyotunia Leo ungetuelekeza ulikoinunua ili ndiyo ipigwe marufuku nyingine ihalalishwe.
Kabla ya ile red card azam alikua amepoteana kabisa mpaka nikajiuliza ndo hawa waliompigia simba mpira mkubwa, leo ndo nimejua kwanini azam hawachukui ubingwa hawa jamaa wanachagua mechi za kucheza mpira especially wanapokutana na simba na yangaKwa nyakati tofauti Mbunge wa Kahama Mh Kishimba na Mbunge wa Geita vijijini Mh Joseph Msukuma waliwahi kuomba bangi ihalalishwe kama zào la Biashara ikilimwa kama dawa.
Lakini kitendo ulichofanya Leo Juma Nyoso kwenye Mechi ambayo timu yako ilishaichukua na kuelekea kushinda, ghafla katika mazingira yasiyohatarisha goli lako unahamisha mpira vizuri na ghafla unamkanyaga mgongoni Kwa makusudi Kipre Junior. Hii bangi uliyotunia Leo ungetuelekeza ulikoinunua ili ndiyo ipigwe marufuku nyingine ihalalishwe.
Nyie wenyewe mnachukua bahashaUnataka kusemaje?Utopolo wameacha kutoa bahasha?
Jamaa kaigarimu timu kishamba sana ilikua ni suala la muda tu Ihefu kupata bao,Azam hakua kwenye ubora wake kabisa walipoteana kila idara.Ihefu was the best team by far mpaka huyu mwehu alipovuruga shughuli.Kabla ya ile red card azam alikua amepoteana kabisa mpaka nikajiuliza ndo hawa waliompigia simba mpira mkubwa, leo ndo nimejua kwanini azam hawachukui ubingwa hawa jamaa wanachagua mechi za kucheza mpira especially wanapokutana na simba na yanga
Ila twende mbele turudi nyuma kwa upande wangu NBCPL kuna wachezaji wawili tu wa kariba yake ambao nawakubari pamoja na mapungufu machache waliyokua nayoalikua ni Boko
Anachezea IHEFU Fc imecheza na Azam Fc Jana saa 1:00 usiku, Juma Saidi Nyoso akamkanyaga Kipre Jr mgongoniYuko timu gani?
Mtangazaji alisemà Wana fatiki.Kabla ya ile red card azam alikua amepoteana kabisa mpaka nikajiuliza ndo hawa waliompigia simba mpira mkubwa, leo ndo nimejua kwanini azam hawachukui ubingwa hawa jamaa wanachagua mechi za kucheza mpira especially wanapokutana na simba na yanga
Ila nyingine watu wavute tu hazina nomaBasi tuifungie isitumike itaharibu Vijana.
Sura yake tu inaonyesha Ni mvuta bangi konk na ukiacha mpira sijui kama Sio mkabaji ifikapo usiku.