Juma pili

kunywa chai,chat JF, kula cha mchana lala kidogo,amka jioni nenda kazurure sehemu isiyo na watu wengi wanaokufahamu kama una hela panda daladala lenye ruti ndefu shukia kituo cha mwisho zunguka kidogo kisha panda tena kurudi unapoishi,oga kula msosi wa usiku,peruzi mitandaoni,sali ulale
 

Humu sina rafiki
 
Pumzika kwanza tafakari ya kanisani na maisha kwa ujumla,,,baadae jioni kagiza cha usoni si mbaya ukaenda kupata kitimoto ROST utajua mwenyewe utaisindikiza na nini!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…