Juma Said Mfaume: Je, tumpe Tuzo ya Man of The Year!?

Juma Said Mfaume: Je, tumpe Tuzo ya Man of The Year!?

uhurumoja

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2014
Posts
9,616
Reaction score
22,521
Habari wadau je jukwaa la wanaume na wanawake tumtangaze huyu jamaa ambae amekufa akimtetea mke wake dhidi ya wadai wake kama man of the year!?
Maana si kawaida huenda mwingine angekimbia na kuacha "matatizo"kwa mke wake lakini yeye aliamua kuwavaa oya na kuwasababishia "matatizo"
Zamani kabisa wanaume walipoenda vitani wakiambiwa kapambane kwa ajili ya nchi Yako na mke wako jambo Hilo tumeliona kwa Mfaume akifa kiume
 
Watoto wake watamlaumu sana kuwaacha yatima kisa 200,000,
Bora anayevamia benki ni get rich or die trying.

Soon mjane ataolewa na watoto kuteseka,mkiambiwa tafuteni hela mnakimbilia kusema hata Bill Gates ni bachelor
 
Back
Top Bottom