Ulimakafu
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 31,248
- 13,244
Mijawapo wa viungo walinivutia sana kwa upande wa Yanga S C kwenye Kagame Castle Cup iliyoisha wiki iliyopita mbali ya Nurdin Bakari ni huyu dogo Kijiko,japo alicheza mechi chache lakini ameonyesha uwezo mkubwa sana,anakuja kuwa nguli na fundi sana akipewa nafasi.