Juma Seif 'Kijiko'

Ulimakafu

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
31,248
Reaction score
13,244
Mijawapo wa viungo walinivutia sana kwa upande wa Yanga S C kwenye Kagame Castle Cup iliyoisha wiki iliyopita mbali ya Nurdin Bakari ni huyu dogo Kijiko,japo alicheza mechi chache lakini ameonyesha uwezo mkubwa sana,anakuja kuwa nguli na fundi sana akipewa nafasi.
 
Mijawapo wa viungo walinivutia sana kwenye Kagame Castle Cup iliyoisha wiki iliyopita mbali ya Nurdin Bakari ni huyu dogo Kijiko,japo alicheza mechi chache lakini ameonyesha uwezo mkubwa sana,anakuja kuwa nguli na fundi sana akipewa nafasi.
i wish ningekuwa wakala wachezaji fasta tumuuze nje akiendelea bongo ataishia kama wengine tu very sad
 
i wish ningekuwa wakala wachezaji fasta tumuuze nje akiendelea bongo ataishia kama wengine tu very sad
Namkubali sana huyu dogo,lakini kama inavyoripotiwa kuwa alimuumiza kwa makusudi Kazimoto siku ile ya fainali (japo ilisaidia),litakuwa si jambo la kiuanamichezo.
 
Na reward yake ameitwa timu ya taifa-Taifs Stars,anaweza kufika mbali.
 
Hata leo ametifuaa saana pale kati ni hazina kubwa sana pale dimba la kati!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…